- Thread starter
- #21
Ulichosema ni kweli mkuu maana alifanyiwa upasuaji mbili wa uvimbe na huo wa mimba nje ya kizazi kutolewaHilo ni tatizo la mkeo mirija itakuwa imeziba kwa maana diameter ndogo, au ana uvimbe kwenye mji wa uzazi, tafuta gynecology mwingine aangaliwe kwa ultra sound