X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
Kula sana miwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
U.T.I itakuatatzo ni kwamba kuna maumivu nyuma ya mgongo maeneo ya figo , pia ukinibana mkojo kuna maumivu makali nayapata maeneo hayo ya figo, so naamini mfumo wa mkojo kwa ujumla unauchafu
Pia kachumbari ya mlonge ni kiboko ya matatizo ya figo. Japo utatakiwa kuwa na moyo wa chuma ili kumaliza dozi yake.Tumia maji mengi na Aloe vera itakusaidia...
Ukiwa unafanya hivyo nenda hospitali ukapimwe kabisa ijulikane dawa gani wakupe..
Pole sana ndugu
SHEM NAOMBA MAELEKEZO YA KUITENGENEZAPia kachumbari ya mlonge ni kiboko ya matatizo ya figo. Japo utatakiwa kuwa na moyo wa chuma ili kumaliza dozi yake.
unaitengenezajePia kachumbari ya mlonge ni kiboko ya matatizo ya figo. Japo utatakiwa kuwa na moyo wa chuma ili kumaliza dozi yake.
Unakatakata vile viharage vibichi vya mlonge (na maganda yake) unachanganya na nyanya, vitunguu,chumvi kidogo na ndimu. Ila ni kwa vipimo maalumu kulingana na umri wa mtumiaji na ukubwa wa tatizo alilonalo.SHEM NAOMBA MAELEKEZO YA KUITENGENEZA
unaitengenezaje
sawa shemelaUnakatakata vile viharage vibichi vya mlonge (na maganda yake) unachanganya na nyanya, vitunguu,chumvi kidogo na ndimu. Ila ni kwa vipimo maalumu kulingana na umri wa mtumiaji na ukubwa wa tatizo alilonalo.
mkuuu basi sio mbaya mbona iyo ni salade za wadhungu basi ntaanza kula salade iyo...ubarikiwe kakaUnakatakata vile viharage vibichi vya mlonge (na maganda yake) unachanganya na nyanya, vitunguu,chumvi kidogo na ndimu. Ila ni kwa vipimo maalumu kulingana na umri wa mtumiaji na ukubwa wa tatizo alilonalo.
Katika hiyo salade, mlonge ndio unatakiwa uwe mwingi zaidi.mkuuu basi sio mbaya mbona iyo ni salade za wadhungu basi ntaanza kula salade iyo...ubarikiwe kaka
God bless dadaKatika hiyo salade, mlonge ndio unatakiwa uwe mwingi zaidi.
Kila la heri kiongozi, ila mimi sio kaka ni dada!
Kaka mimi nna tatizo km ilo vp ulipt dawa5023F
Broo dawa ya tatiz ulipata kska
Habari zenu wakuu!
Samahani naomba msaada wa jina la dawa inayopatikana phamarcy au kwenye maduka ya dawa inayoweza kusafisha figo na mfumo mzima wa mkojo ili nikainunue..pia kwa wale wanaozijua dawa za asili msisite kushare uzoefu wenu na wapi zinaweza kupatikana hizo dawa.
Natanguliza shukrani zangu
Mi nakupa hii ambayo itaki nguvu. Pendelea sana kwenye mlo kama wanavofanya wachina pilipili zile kama bamia, vitunguu swahumu vya vibichi na changanya na soya souce.Habari zenu wakuu!
Samahani naomba msaada wa jina la dawa inayopatikana phamarcy au kwenye maduka ya dawa inayoweza kusafisha figo na mfumo mzima wa mkojo ili nikainunue..pia kwa wale wanaozijua dawa za asili msisite kushare uzoefu wenu na wapi zinaweza kupatikana hizo dawa.
Natanguliza shukrani zangu