Doctors obtain orders stopping state from hiring Tanzanians

Doctors obtain orders stopping state from hiring Tanzanians

uzalendo umekwisha kabisa miongoni mwa watanzania. wakawa wanafurahia watanzania wenzao waendelee kukosa ajira.
na niabu,fedheha na ujuha kujiita mzalendo kwa kupongeza serikali ya Tanzania kukimbiza madaktari wake kwenda kenya wakati hapa nyumbani tunauhaba mkubwa wa madaktari ratio ya daktari kwa wagonjwa bado iko chini kushinda hata malengo tuliyojiwekea ya millennium,na niabu kubwa kwa serikali kushindwa kuajiri madaktari ilihali hiki ndio kilio kikubwa sana katika sekta ya afya
 
uzalendo umekwisha kabisa miongoni mwa watanzania. wakawa wanafurahia watanzania wenzao waendelee kukosa ajira.
Ndugu yangu ivi kule kenya kungekuwa na amani ni mtanzania yupi angepinga madaktari kwenda huko. Jua wazi hayo ni masuala ya kisiasa hata ikitokea hao madaktari wakienda huko na wakadhurika majibu tutayapata kisiasa pia. Watu wanacheza na maisha ya wengine.
 
Kitu kizuri nikuwa
hakuna aliye lazimisha hilo litokee
waliomba wao
na ingelichukuliwa vibaya kama Tanzania tungeli kataa ombi lao!!
Tujifunze pia
Sio kila kitu ukiombwa inakubali tu. Angalia na madhara yatakayowapata watu wako. Kusingekuwa na shida km ombi limejengwa ktk msingi wa amani, ila ilikuwa ni ktkt ya mgogoro so usitegemee km hao maDkt wangeishi kwa amani kule
 
na niabu,fedheha na ujuha kujiita mzalendo kwa kupongeza serikali ya Tanzania kukimbiza madaktari wake kwenda kenya wakati hapa nyumbani tunauhaba mkubwa wa madaktari ratio ya daktari kwa wagonjwa bado iko chini kushinda hata malengo tuliyojiwekea ya millennium,na niabu kubwa kwa serikali kushindwa kuajiri madaktari ilihali hiki ndio kilio kikubwa sana katika sekta ya afya
Naongezea tu..
Ni aibu na fedheha kubwa kwa sisi waTz kuendelea kuwasikiliza na kuwapigia makofi wanasiasa wanaosema wataongeza ajira wakati wameshindwa kuajiri hata madaktari ambao licha ya kusomeshwa kwa gharama kubwa, kuna upungufu mkubwa wa madaktari mahospitalini
Lakini pia ni aibu kubwa kwa serikali licha ya kuwa shule zetu zinahitaji walimu kuwaacha walimu wakae zaid ya mwaka mitaani etu wanafanya uhakiki sijui!!!!
 
Sio kila kitu ukiombwa inakubali tu. Angalia na madhara yatakayowapata watu wako. Kusingekuwa na shida km ombi limejengwa ktk msingi wa amani, ila ilikuwa ni ktkt ya mgogoro so usitegemee km hao maDkt wangeishi kwa amani kule

Unafiki wenu unachosha
leo umeongea hili
lakini kama ombi lingekataliwa usinge ongea haya
 
Unafiki wenu unachosha
leo umeongea hili
lakini kama ombi lingekataliwa usinge ongea haya
Always huwa naitrain akili yangu kufikiri yaliyo juu. Kulipinga hilo haimaanishi kila kitu napinga tu.
 
Mahakama ya Kenya ya Kazi -Labour Court, imeamuru serikali kusimamisha mpango wa kuwaajiri madaktari 500 kutoka Tanzania ikiwa ni pamoja na madaktari wengine toka nje ya nchi.

Hii ikiwa ni pamoja na watumishi wengine toka njeya nchi katika nyaja mbali mbali za KIAFYA.
Hili limetokea baada ya madaktari 5 kwenda mahakamani kupinga mpango wa serikali wa kuwaajiri madaktari 500 toka Tanzania.

Akitoa hukumu ya uamuzi wake wa ombi la madaktari. Justice Nelson Abuodha alisema serikali ilazimike kuwa ABSORB na kuwaajiri madaktari WOTE 1400 waliofuzu na bado hawajapata ajira.

Uamuzi huu umeweka SINTOFAHAMU kuhusu madaktari wa Kitanzania waliotarajiwa kuanza kazi mwanzoni mwa mwezi wa April mwaka huu.
Chanzo: Daily Nation
 
Mahakama ya Kenya ya Kazi -Labour Court, imeamuru serikali kusimamisha mpango wa kuwaajiri madaktari 500 kutoka Tanzania ikiwa ni pamoja na madaktari wengine toka nje ya nchi.

Hii ikiwa ni pamoja na watumishi wengine toka njeya nchi katika nyaja mbali mbali za KIAFYA.
Hili limetokea baada ya madaktari 5 kwenda mahakamani kupinga mpango wa serikali wa kuwaajiri madaktari 500 toka Tanzania.

Akitoa hukumu ya uamuzi wake wa ombi la madaktari. Justice Nelson Abuodha alisema serikali ilazimike kuwa ABSORB na kuwaajiri madaktari WOTE 1400 waliofuzu na bado hawajapata ajira.

Uamuzi huu umeweka SINTOFAHAMU kuhusu madaktari wa Kitanzania waliotarajiwa kuanza kazi mwanzoni mwa mwezi wa April mwaka huu.
Chanzo: Daily Nation
Uamuzi mushabara
 
Wenye akili walishasahauri kwamba hii imekaa vibaya

Lkn wahusika hawakuelewa, waziri mwenye dhamana alizidi kusisitiza watu eti watumie fursa

Hii ni aibu gani sasa
 
Inawezekana walikuwa wanacheza na psycholojia za watu....sema wengine mmechukulia serious...mara wanatangaza nafasi na wengine wanaomba kazi
 
Serikali itafute namna nyingine ya kutengeneza ajira kwa Wataalamu wetu, Wakenya hawawezi kukubali.
 
madaktari wanaoend uko kenya waji anglie..
 
kumbe hata Raila Odinga aliupinga huu mpango? huyu si rafiki wa karibu wa mkuu wa nchi yetu?
 
Back
Top Bottom