Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,074
Uko chini kidoogo inabidi uongeze uzito
Sent from my iPhone using JamiiForums
Inabidi niongezeke kg ngapi kwa urefu nilionao kitaalamu?Uko chini kidoogo inabidi uongeze uzito
Sent from my iPhone using JamiiForums
BMI=uzito(kg)÷(urefu (m))² =58÷1.78²= 18.3. Ni sawa, kwa kawaida BMI inashauriwa iwe kati ya 18 mpaka 23. Kupungua au kuzidi ni tatizoKwa vile Mimi sio mtaalamu wa mambo ya uzito ninaomba wenye uelewa wa uzito wa mwili anipe ufanunuzi kidogo(ila asiwe doctor uchwara)
Nina urefu wa mita 1.78,Nina kilo 58kg je?uzito wangu unalingana na urefu wangu au gym inanihusu!?
Natanguliza shukrani
Sent by Diaspora
Kuwa chini nazani siyo vibaya sana!
BMI huwa ina ranges from minimum to maximum!
Pia mazoezi siyo kwaajiri ya kupunguza uzito bali pia kwaajiri ya kuufanya mwili kuwa fit!
Wachina/ Wakorea/ wazungu n.k pamoja na miili yao ya umbaumbau lakini mazoezi kwao ni kama Pete na Chanda!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekusoma mkuuBMI=uzito(kg)÷(urefu (m))² =58÷1.78²= 18.3. Ni sawa, kwa kawaida BMI inashauriwa iwe kati ya 18 mpaka 23. Kupungua au kuzidi ni tatizo
Sent using Jamii Forums mobile app