MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,675
- 33,583
Wakuu,
Hizi timu zinaendeshwa kihuni sana sometimes! Wakati sisi Simba pamoja na raha tulizopata kwa usajili first class lakini tusisahau swala la ujenzi wa uwanja Bunju ni kama limekufa na hatujui kinachoendelea na hata issue ndogo ya kuzungusha walau ukuta ilipofikia hatuna taarifa rasmi.
Lakini wakati Lunyasi tukikumbushana hayo majanga, jamaa zetu wa jangwani walizindua Yanga TV kwa mbwembwe kubwa tukajua wenzetu wapo serious. Lakini kichekesho hata hiyo documentary yao inabidi ulipie Azam Max kuiona sio Yanga TV achilia mbali hata kujua maendeleo yake.
Anyway, pamoja na utani wetu wa jadi lakini ni vizuri tuwe na muendelezo mzuri kwenye projects zetu. Projects zinatangazwa kwa nguvu kubwa alafu baada ya muda hatuoni nguvu ikuwekwa huko.
Hizi timu zinaendeshwa kihuni sana sometimes! Wakati sisi Simba pamoja na raha tulizopata kwa usajili first class lakini tusisahau swala la ujenzi wa uwanja Bunju ni kama limekufa na hatujui kinachoendelea na hata issue ndogo ya kuzungusha walau ukuta ilipofikia hatuna taarifa rasmi.
Lakini wakati Lunyasi tukikumbushana hayo majanga, jamaa zetu wa jangwani walizindua Yanga TV kwa mbwembwe kubwa tukajua wenzetu wapo serious. Lakini kichekesho hata hiyo documentary yao inabidi ulipie Azam Max kuiona sio Yanga TV achilia mbali hata kujua maendeleo yake.
Anyway, pamoja na utani wetu wa jadi lakini ni vizuri tuwe na muendelezo mzuri kwenye projects zetu. Projects zinatangazwa kwa nguvu kubwa alafu baada ya muda hatuoni nguvu ikuwekwa huko.