Tetete!...watavishusha madege yakisasa na vijiti ,hawa wachawi wa south..........labda watavishusha na ushirikiana ambayo ndiyo fani yao maalum,....binafsi natamani siku moja tukatunishe na hawa....kupigwa na drones full scale,yaani conventional modern warfare, tukaimege Kilimanjaro yote mpaka Mwanza na kule Umaasaini.
Tetete!...watavishusha madege yakisasa na vijiti ,hawa wachawi wa south..........labda watavishusha na ushirikiana am\bayo ndiyo fani yao maalum,....binafsi natamani siku moja kukatunishe na hawa....kupigwa na drones full scale,yaani conventional modern warfare, tukaimege Kilimanjaro yote mpaka Mwanza na kule Umaasaini.
Tetete!...watavishusha madege yakisasa na vijiti ,hawa wachawi wa south..........labda watavishusha na ushirikiana ambayo ndiyo fani yao maalum,....binafsi natamani siku moja tukatunishe na hawa....kupigwa na drones full scale,yaani conventional modern warfare, tukaimege Kilimanjaro yote mpaka Mwanza na kule Umaasaini.
kenya ili nunua SA-11 buk (Gadfly) baada ya Museveni kununua SU-30 flankers....2K12 Kub or kama NATO wanavyoziita SA-6 GAINFUL.
in 1995 June 2 – An F-16C Fighting Falcon was shot down by a Serb 2K12 Kub SAM (NATO reporting name: SA-6 'Gainful') while on patrol over Bosnia.
Nyie hamna hata aina hiyo ya ndege ya kivita. SA-6 zipo za kumwaga Tanzania.
Pia usisahau kua tuna the best world MRLS za kumwaga A-100. Hizo tunaziweka tu maeneo ya Arusha, baada ya nusu saa Nairobi hakuna hata tofali la mjengo litabaki. A-100 inajeuri ya kutandika over 150km.
enjoy: World Military and Police Forces: Tanzania
utazikuta hapo na hizi ni vitu visivyo sensitive ndani ya Jeshi kwa kipindi zinaoneshwa, sasa hizo sensitive....?
With all their firepower, what happened to the US in Vietnam? What happened to Russia in Afghanistan? What happened to Uganda in 1978?
Usiropoke vitu usivyovijua, war is more than just drones and high tech bombers.
There's a reason why The Tanzanian army is listed as one of the best in Africa,
There's also a reason why even you Kenyans enroll your officers to TMA (Tanzania military academy).
sijaelewa SA-6 ni ndege kwani?wasema mko na iyo aina ya ndege za kumwaga.nijuavyo SA-6 sio ndege unless nlichanganyikiwa au sijakuelewa
Unaamini uongo wa hawa wakomunisti?..mkomunisti kwa domo balaa!...., mpuuze mshenzi huyu!
And there is a reason why they call the military academy in kenya the best in the region. I advise you to watch the vedio up there, most of the things you say are already answered up thereWith all their firepower, what happened to the US in Vietnam? What happened to Russia in Afghanistan? What happened to Uganda in 1978?
Usiropoke vitu usivyovijua, war is more than just drones and high tech bombers.
There's a reason why The Tanzanian army is listed as one of the best in Africa,
There's also a reason why even you Kenyans enroll your officers to TMA (Tanzania military academy).
hahahahahKipi hukuelewa? SA-6 ni SAM surface to air missile. Tanzania operates SA-6, SA-17 as well as S-400 hizi ni SAMs za Mbabe Vladimir Putin, Russian made. Hapo bado SAMs kali za Kichina.
hahahahah
Tanzania iko na SA-6 pekee, tena ni zile verion 1 za kitambo sana,. hamna SA-17. Na ikija kwa S-400 (or SA-21/22) ata usijaribu kujisumbua... its the most advanced air defence system, hata marekani hawaingii hapo, zile stealth aircraft za marekani zinafanywa obsolete zikiekewa hio S-400, hapa africa ni egypt ekee ambayo iko na pesa za kutosha kunua moja ya hizo kwani unit cost ya moja ya hio ni $500 million... ati mko nazo, hahahaha duh, story za vijiweni hizo, kadanganye huko, si hapa
How Russia’s S-400 makes the F-35 obsolete
Kwa nini mnaleta watu wenu kujifunza TMA?? Bwege kabisa, sio nyie mlikua mnaleta chokochoko miaka flani hapo nyuma, kisha mizinga iliposogezwa milimani upareni mkafyata mkia?? Badass wannabes! Kaibeni supermarket, hicho ndio mnachoweza kufanya kwa ufasaha
Tanzanians using El Ade to belittle the KDF Is very though less.Its like their army is made of steel and can withstand explosions. Most soldiers died during the early minutes of the attack.Now imagine how a army that was surprised was able to hold back a 1000man militia group for 10hrs. I know you deliberately ignore this so as to justify your argument.Since the attack Kenya has killed +1000 terrorists.Kenya has overrun so many alshabaab camps since and beating Kenya was the groups biggest victory because they know KDF is no mediocre.Read this then keep posting your uninformed stupidity here.
Kojoa ukalale, acha watu wazima waongee sense!
Askari wa UK Na Turkey hawana tabia ya kuiba supermarket wakiwa operesheni za kijeshi, kwa hiyo usijilinganishe nao!
sasa hapa tumelewana cz statement yako ya mwanzo ilikuwa umenichanganyaKipi hukuelewa? SA-6 ni SAM surface to air missile. Tanzania operates SA-6, SA-17 as well as S-400 hizi ni SAMs za Mbabe Vladimir Putin, Russian made. Hapo bado SAMs kali za Kichina.
Mkuu Kafrican!...tofauti na wengi wanavyofikiri,Misri/Egypt hana hela hizo unavyodhania, jeshi lake tokea zama zile hadi leo hii hupata msaada maradufu toka Marekani, kama mkataba ili kuilinda/kutoikwaza Israeli.
Wao kila kifaa hata hela za ulinzi hutoka Marekani, katafute orodha ya msaada wa kijeshi Afrika na Mashariki ya kati utaiona.
Pamoja na uchumi wa Misri uliotetereka, siku hizi ndio husiseme kabisa.Hawana uwezo wa kiuchumi wa kununua vifa kama kama S-400.
Israeli pia msaada wa kijeshi toka Marekani maradufu, kushinda msaada anayotoa Mmarekani kwa nchi zote za Afrika chini ya jangwa la Sahara.
hahahahah
Tanzania iko na SA-6 pekee, tena ni zile verion 1 za kitambo sana,. hamna SA-17. Na ikija kwa S-400 (or SA-21/22) ata usijaribu kujisumbua... its the most advanced air defence system, hata marekani hawaingii hapo, zile stealth aircraft za marekani zinafanywa obsolete zikiekewa hio S-400, hapa africa ni egypt ekee ambayo iko na pesa za kutosha kunua moja ya hizo kwani unit cost ya moja ya hio ni $500 million... ati mko nazo, hahahaha duh, story za vijiweni hizo, kadanganye huko, si hapa
How Russia’s S-400 makes the F-35 obsolete
seriously, hii info yako unapata wapi?kwa nini usiingie kwenye link then ujionee then after uangalie nini nakuambia. Wajua bei ya A-100 MRLS moja, is the world best kwa sasa. je sisi tumeipataje ukizingatia bajeti yetu ambayo nyine mnaiponda kila kukicha. SA-17 or BUK zipo aina kadhaa BUK M4 BUK M3 ndio nazojua, wewe wasema hatuna, pole. S-400 Algeria wanaoperate hiyo kitu hata last years walifanya nazo majaribio. kwa taarifa tu Tanzania has the most advance and sock kubwa ya SAM in Africa. fanya utafiti kwa ninalokuambia.
na hii SA-6 unakubali kwakua tu tumekuonesha kwa picha, bila hivyo ungekataa na kwa taarifa SA-6 gainful ndio ilikua ya kwanza kutungua stealth aircraft ndania ya Bosnia, google hii taarifa hizi stealth aircraft zimetunguliwa nyingi tu na SA-3.