Dodo ya AliKiba: Mapato ya Youtube yamebuma, Shows hakuna, tutegemee ukimya wa muda mrefu

Dodo ya AliKiba: Mapato ya Youtube yamebuma, Shows hakuna, tutegemee ukimya wa muda mrefu

HII ISHU KAMA INAUKWELI HIVI, HAIWEZEKANI WASANII WAWILI WAKIMBIE KWA PAMOJA TENA KATIKA KIPINDI CHA MUDA MFUPI
Watu wanashindwa kujua kila mtu Ana interest zake itakuja kufikia tutaanza kusema kondeboy mbona Hana media yake!!!...au tutaanza kusema mbona Ay au Sugu hawajafungua media!!!...
 
Kiba hategemei music ..kuwa na ukaribu na Joho sio mchezo... Joho ni mara mia tano ya rafiki yake domo Kinje..wajanja mtakuwa mmenielewa
 
View attachment 1441463

Hakuna mwanamziki anaependaga kuwa kimya kama wengi tunavyodhani, iwapo msanii hana tatizo za vituo vya redia, n.k basi mara nyingi ukimwya husababishwa na ishu ya "UKATA WA PESA".

Ali kiba ni miongoni mwa wasanii wanaokaa kimya na kusingizia ndivyo walivyo ila ukweli ni kwamba pesa huwa zimekata na kazi za msanii kama alikiba ni gharama sana, kurekodi tu yaweza kuwa milioni na video isipungue milioni 10.

Hakuna jipya katika skendo za uchumi binafsi wa Ali Kiba kwamba aliwahi kukosa pesa za kuwalipa watayarishaji wa muziki (Maprodyuza) kama man walter na abba. Kitendo hiki kilimkasirisha Producer Man water na kuamua kuzifungia nyimbo za Ali Kiba ambazo hazikutoka kwenye stoo yake mpaka pale atakapopata stahiki ya jasho lake, Lilikuwa pigo kubwa kwa Ali, Alikaa kimya muda mrefu.

Kuzorota kwa uchumi kulimtikisa kweli kweli hadi wasanii wa label yake kumkimbia maana palikuwa pakavu pale.

Kwa hii hali ya sasa ambayo hakuna mikusanyiko hivyo shows kukosekana, wasanii wengi wamebaki kutegemea mapato ya youtube ila sasa hawa wengi hata wakigonga views milioni 2 wakapata milioni 3 basi imetosha maana video zao wanafanya hata kwa laki 8.

Ishu inapokuja ni kwa wasanii wakubwa kama kina alikiba, Video tu ya dodo inaweza ikawa imetumika milioni 12 (Usichukulie poa kazi za kiba) ila video imepata views milioni 4 hadi sasa, kwa makadirio ya fasta fasta pesa aliyopokea kutoka youtube kwa video hii ni kama milioni 6 hivi, ndio kwanza kafikia nusu ya gharama alizotengenezea video hii,

Yawezekana kijana alikuwa na mategemeo ya kupata hata robo ya views anazopata mdogo wake, ila kiukweli hali imekuwa tofauti, Kwa hali hii ya mapato kuwa madogo kutokana na views chache ukiunganisha na shows kupigwa marufuku basi msishangazwe kabisa ngoma nyingine itoke mwisho wa mwaka kijana akidunduliza
Yooooooo...
 
View attachment 1441463

Hakuna mwanamziki anaependaga kuwa kimya kama wengi tunavyodhani, iwapo msanii hana tatizo za vituo vya redia, n.k basi mara nyingi ukimwya husababishwa na ishu ya "UKATA WA PESA".

Ali kiba ni miongoni mwa wasanii wanaokaa kimya na kusingizia ndivyo walivyo ila ukweli ni kwamba pesa huwa zimekata na kazi za msanii kama alikiba ni gharama sana, kurekodi tu yaweza kuwa milioni na video isipungue milioni 10.

Hakuna jipya katika skendo za uchumi binafsi wa Ali Kiba kwamba aliwahi kukosa pesa za kuwalipa watayarishaji wa muziki (Maprodyuza) kama man walter na abba. Kitendo hiki kilimkasirisha Producer Man water na kuamua kuzifungia nyimbo za Ali Kiba ambazo hazikutoka kwenye stoo yake mpaka pale atakapopata stahiki ya jasho lake, Lilikuwa pigo kubwa kwa Ali, Alikaa kimya muda mrefu.

Kuzorota kwa uchumi kulimtikisa kweli kweli hadi wasanii wa label yake kumkimbia maana palikuwa pakavu pale.

Kwa hii hali ya sasa ambayo hakuna mikusanyiko hivyo shows kukosekana, wasanii wengi wamebaki kutegemea mapato ya youtube ila sasa hawa wengi hata wakigonga views milioni 2 wakapata milioni 3 basi imetosha maana video zao wanafanya hata kwa laki 8.

Ishu inapokuja ni kwa wasanii wakubwa kama kina alikiba, Video tu ya dodo inaweza ikawa imetumika milioni 12 (Usichukulie poa kazi za kiba) ila video imepata views milioni 4 hadi sasa, kwa makadirio ya fasta fasta pesa aliyopokea kutoka youtube kwa video hii ni kama milioni 6 hivi, ndio kwanza kafikia nusu ya gharama alizotengenezea video hii,

Yawezekana kijana alikuwa na mategemeo ya kupata hata robo ya views anazopata mdogo wake, ila kiukweli hali imekuwa tofauti, Kwa hali hii ya mapato kuwa madogo kutokana na views chache ukiunganisha na shows kupigwa marufuku basi msishangazwe kabisa ngoma nyingine itoke mwisho wa mwaka kijana akidunduliza
Umeongea vitu nyingi lakini hazina maana ni utopolo inshu ya abdady ......Nazani ab kwa maelezo yake alikaririwa akisena kiba aliswitch off mawasiliano baada ya yeye kufanya ile ngoma ya rich mavoko sasa hapo mambo ya pesa yanaingiaje............. Sema aby hakusanuka na wale jaama waliona kiba anawanyima usingizi kwa ile mikwaju ya..... Chekecha....aje.... Aje remix.... Lupela.... Na nyingine kibao katafute ukweli alafu ndio urudi hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1441463

Hakuna mwanamziki anaependaga kuwa kimya kama wengi tunavyodhani, iwapo msanii hana tatizo za vituo vya redia, n.k basi mara nyingi ukimwya husababishwa na ishu ya "UKATA WA PESA".

Ali kiba ni miongoni mwa wasanii wanaokaa kimya na kusingizia ndivyo walivyo ila ukweli ni kwamba pesa huwa zimekata na kazi za msanii kama alikiba ni gharama sana, kurekodi tu yaweza kuwa milioni na video isipungue milioni 10.

Hakuna jipya katika skendo za uchumi binafsi wa Ali Kiba kwamba aliwahi kukosa pesa za kuwalipa watayarishaji wa muziki (Maprodyuza) kama man walter na abba. Kitendo hiki kilimkasirisha Producer Man water na kuamua kuzifungia nyimbo za Ali Kiba ambazo hazikutoka kwenye stoo yake mpaka pale atakapopata stahiki ya jasho lake, Lilikuwa pigo kubwa kwa Ali, Alikaa kimya muda mrefu.

Kuzorota kwa uchumi kulimtikisa kweli kweli hadi wasanii wa label yake kumkimbia maana palikuwa pakavu pale.

Kwa hii hali ya sasa ambayo hakuna mikusanyiko hivyo shows kukosekana, wasanii wengi wamebaki kutegemea mapato ya youtube ila sasa hawa wengi hata wakigonga views milioni 2 wakapata milioni 3 basi imetosha maana video zao wanafanya hata kwa laki 8.

Ishu inapokuja ni kwa wasanii wakubwa kama kina alikiba, Video tu ya dodo inaweza ikawa imetumika milioni 12 (Usichukulie poa kazi za kiba) ila video imepata views milioni 4 hadi sasa, kwa makadirio ya fasta fasta pesa aliyopokea kutoka youtube kwa video hii ni kama milioni 6 hivi, ndio kwanza kafikia nusu ya gharama alizotengenezea video hii,

Yawezekana kijana alikuwa na mategemeo ya kupata hata robo ya views anazopata mdogo wake, ila kiukweli hali imekuwa tofauti, Kwa hali hii ya mapato kuwa madogo kutokana na views chache ukiunganisha na shows kupigwa marufuku basi msishangazwe kabisa ngoma nyingine itoke mwisho wa mwaka kijana akidunduliza
Kama alikiba ataendelea kutoa Ngoma za aina hii ya Dodo basi ataendelea kuwa underground miaka yote
Kazi kuwatapeli tu na kuwa tenga maprodyuza tu
 
Na hapo ashukuru Beef la Mondi ndo linambeba nahisi angekua na viewers elfu kumi mpaka sasa, shida ya Ali anakujiskia sana ata Mashabiki wake damu kabisa wanaanza kumkataa.
 
Na hapo ashukuru Beef la Mondi ndo linambeba nahisi angekua na viewers elfu kumi mpaka sasa, shida ya Ali anakujiskia sana ata Mashabiki wake damu kabisa wanaanza kumkataa.
kumbe ana beef na mond!!!

kama mond anabeba wengine kwanini mashabiki wake mnanuna!!!!kwani ni kazi yenu hiyoo??
 
kumbe ana beef na mond!!!

kama mond anabeba wengine kwanini mashabiki wake mnanuna!!!!kwani ni kazi yenu hiyoo??
Kuongea unachokiona kuhusu Jambo si lazima uwe shabiki, by the way we unaonaje Mondi ana Beef na Kiba au Kiba ana Beef na Mondi? Eeh ashukuru sana maana angekua taabani sana
 
Bila shaka ungo unao. Kilichokosekana vitendea kazi vichache kama tunguri uanze kupaa hewani.
 
Kuongea unachokiona kuhusu Jambo si lazima uwe shabiki, by the way we unaonaje Mondi ana Beef na Kiba au Kiba ana Beef na Mondi? Eeh ashukuru sana maana angekua taabani sana
sioni mwenye beef na mwenzie hapo,naona kila mmoja ana mambo yake tu,hawana ukaribu kama ilivyo mimi na wewe.
 
Back
Top Bottom