Duh .. Ali ana hela nyie! Hana shida ndogondogo za mbogambogA! Nikajua hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanashindwa kujua kila mtu Ana interest zake itakuja kufikia tutaanza kusema kondeboy mbona Hana media yake!!!...au tutaanza kusema mbona Ay au Sugu hawajafungua media!!!...HII ISHU KAMA INAUKWELI HIVI, HAIWEZEKANI WASANII WAWILI WAKIMBIE KWA PAMOJA TENA KATIKA KIPINDI CHA MUDA MFUPI
Yooooooo...View attachment 1441463
Hakuna mwanamziki anaependaga kuwa kimya kama wengi tunavyodhani, iwapo msanii hana tatizo za vituo vya redia, n.k basi mara nyingi ukimwya husababishwa na ishu ya "UKATA WA PESA".
Ali kiba ni miongoni mwa wasanii wanaokaa kimya na kusingizia ndivyo walivyo ila ukweli ni kwamba pesa huwa zimekata na kazi za msanii kama alikiba ni gharama sana, kurekodi tu yaweza kuwa milioni na video isipungue milioni 10.
Hakuna jipya katika skendo za uchumi binafsi wa Ali Kiba kwamba aliwahi kukosa pesa za kuwalipa watayarishaji wa muziki (Maprodyuza) kama man walter na abba. Kitendo hiki kilimkasirisha Producer Man water na kuamua kuzifungia nyimbo za Ali Kiba ambazo hazikutoka kwenye stoo yake mpaka pale atakapopata stahiki ya jasho lake, Lilikuwa pigo kubwa kwa Ali, Alikaa kimya muda mrefu.
Kuzorota kwa uchumi kulimtikisa kweli kweli hadi wasanii wa label yake kumkimbia maana palikuwa pakavu pale.
Kwa hii hali ya sasa ambayo hakuna mikusanyiko hivyo shows kukosekana, wasanii wengi wamebaki kutegemea mapato ya youtube ila sasa hawa wengi hata wakigonga views milioni 2 wakapata milioni 3 basi imetosha maana video zao wanafanya hata kwa laki 8.
Ishu inapokuja ni kwa wasanii wakubwa kama kina alikiba, Video tu ya dodo inaweza ikawa imetumika milioni 12 (Usichukulie poa kazi za kiba) ila video imepata views milioni 4 hadi sasa, kwa makadirio ya fasta fasta pesa aliyopokea kutoka youtube kwa video hii ni kama milioni 6 hivi, ndio kwanza kafikia nusu ya gharama alizotengenezea video hii,
Yawezekana kijana alikuwa na mategemeo ya kupata hata robo ya views anazopata mdogo wake, ila kiukweli hali imekuwa tofauti, Kwa hali hii ya mapato kuwa madogo kutokana na views chache ukiunganisha na shows kupigwa marufuku basi msishangazwe kabisa ngoma nyingine itoke mwisho wa mwaka kijana akidunduliza
Anaagizaga mizigo?Kiba hategemei music ..kuwa na ukaribu na Joho sio mchezo... Joho ni mara mia tano ya rafiki yake domo Kinje..wajanja mtakuwa mmenielewa
Alikiba huyu huyu ninaemjuwa mimi.Jana ametoa Msaada PPE-200 kwa wizara ya Afya kupambana na corona.#Basi kuna watu watamaindi
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumia American code
Umeongea vitu nyingi lakini hazina maana ni utopolo inshu ya abdady ......Nazani ab kwa maelezo yake alikaririwa akisena kiba aliswitch off mawasiliano baada ya yeye kufanya ile ngoma ya rich mavoko sasa hapo mambo ya pesa yanaingiaje............. Sema aby hakusanuka na wale jaama waliona kiba anawanyima usingizi kwa ile mikwaju ya..... Chekecha....aje.... Aje remix.... Lupela.... Na nyingine kibao katafute ukweli alafu ndio urudi hapaView attachment 1441463
Hakuna mwanamziki anaependaga kuwa kimya kama wengi tunavyodhani, iwapo msanii hana tatizo za vituo vya redia, n.k basi mara nyingi ukimwya husababishwa na ishu ya "UKATA WA PESA".
Ali kiba ni miongoni mwa wasanii wanaokaa kimya na kusingizia ndivyo walivyo ila ukweli ni kwamba pesa huwa zimekata na kazi za msanii kama alikiba ni gharama sana, kurekodi tu yaweza kuwa milioni na video isipungue milioni 10.
Hakuna jipya katika skendo za uchumi binafsi wa Ali Kiba kwamba aliwahi kukosa pesa za kuwalipa watayarishaji wa muziki (Maprodyuza) kama man walter na abba. Kitendo hiki kilimkasirisha Producer Man water na kuamua kuzifungia nyimbo za Ali Kiba ambazo hazikutoka kwenye stoo yake mpaka pale atakapopata stahiki ya jasho lake, Lilikuwa pigo kubwa kwa Ali, Alikaa kimya muda mrefu.
Kuzorota kwa uchumi kulimtikisa kweli kweli hadi wasanii wa label yake kumkimbia maana palikuwa pakavu pale.
Kwa hii hali ya sasa ambayo hakuna mikusanyiko hivyo shows kukosekana, wasanii wengi wamebaki kutegemea mapato ya youtube ila sasa hawa wengi hata wakigonga views milioni 2 wakapata milioni 3 basi imetosha maana video zao wanafanya hata kwa laki 8.
Ishu inapokuja ni kwa wasanii wakubwa kama kina alikiba, Video tu ya dodo inaweza ikawa imetumika milioni 12 (Usichukulie poa kazi za kiba) ila video imepata views milioni 4 hadi sasa, kwa makadirio ya fasta fasta pesa aliyopokea kutoka youtube kwa video hii ni kama milioni 6 hivi, ndio kwanza kafikia nusu ya gharama alizotengenezea video hii,
Yawezekana kijana alikuwa na mategemeo ya kupata hata robo ya views anazopata mdogo wake, ila kiukweli hali imekuwa tofauti, Kwa hali hii ya mapato kuwa madogo kutokana na views chache ukiunganisha na shows kupigwa marufuku basi msishangazwe kabisa ngoma nyingine itoke mwisho wa mwaka kijana akidunduliza
Kama alikiba ataendelea kutoa Ngoma za aina hii ya Dodo basi ataendelea kuwa underground miaka yoteView attachment 1441463
Hakuna mwanamziki anaependaga kuwa kimya kama wengi tunavyodhani, iwapo msanii hana tatizo za vituo vya redia, n.k basi mara nyingi ukimwya husababishwa na ishu ya "UKATA WA PESA".
Ali kiba ni miongoni mwa wasanii wanaokaa kimya na kusingizia ndivyo walivyo ila ukweli ni kwamba pesa huwa zimekata na kazi za msanii kama alikiba ni gharama sana, kurekodi tu yaweza kuwa milioni na video isipungue milioni 10.
Hakuna jipya katika skendo za uchumi binafsi wa Ali Kiba kwamba aliwahi kukosa pesa za kuwalipa watayarishaji wa muziki (Maprodyuza) kama man walter na abba. Kitendo hiki kilimkasirisha Producer Man water na kuamua kuzifungia nyimbo za Ali Kiba ambazo hazikutoka kwenye stoo yake mpaka pale atakapopata stahiki ya jasho lake, Lilikuwa pigo kubwa kwa Ali, Alikaa kimya muda mrefu.
Kuzorota kwa uchumi kulimtikisa kweli kweli hadi wasanii wa label yake kumkimbia maana palikuwa pakavu pale.
Kwa hii hali ya sasa ambayo hakuna mikusanyiko hivyo shows kukosekana, wasanii wengi wamebaki kutegemea mapato ya youtube ila sasa hawa wengi hata wakigonga views milioni 2 wakapata milioni 3 basi imetosha maana video zao wanafanya hata kwa laki 8.
Ishu inapokuja ni kwa wasanii wakubwa kama kina alikiba, Video tu ya dodo inaweza ikawa imetumika milioni 12 (Usichukulie poa kazi za kiba) ila video imepata views milioni 4 hadi sasa, kwa makadirio ya fasta fasta pesa aliyopokea kutoka youtube kwa video hii ni kama milioni 6 hivi, ndio kwanza kafikia nusu ya gharama alizotengenezea video hii,
Yawezekana kijana alikuwa na mategemeo ya kupata hata robo ya views anazopata mdogo wake, ila kiukweli hali imekuwa tofauti, Kwa hali hii ya mapato kuwa madogo kutokana na views chache ukiunganisha na shows kupigwa marufuku basi msishangazwe kabisa ngoma nyingine itoke mwisho wa mwaka kijana akidunduliza
Point hii tena kubwa sana,Na hapo ashukuru Beef la Mondi ndo linambeba nahisi angekua na viewers elfu kumi mpaka sasa, shida ya Ali anakujiskia sana ata Mashabiki wake damu kabisa wanaanza kumkataa.
Wote hamna mzikiAlikiba huwezi mfananisha na domo
Wote hamna mziki
Tena bora kdogo domo Ana watu wana mkubali
Kibakuli ndo hamna kitu pale
kumbe ana beef na mond!!!Na hapo ashukuru Beef la Mondi ndo linambeba nahisi angekua na viewers elfu kumi mpaka sasa, shida ya Ali anakujiskia sana ata Mashabiki wake damu kabisa wanaanza kumkataa.
Kuongea unachokiona kuhusu Jambo si lazima uwe shabiki, by the way we unaonaje Mondi ana Beef na Kiba au Kiba ana Beef na Mondi? Eeh ashukuru sana maana angekua taabani sanakumbe ana beef na mond!!!
kama mond anabeba wengine kwanini mashabiki wake mnanuna!!!!kwani ni kazi yenu hiyoo??
Kwani ww demu zako zote ulizitoa bikra,? K haina makombo labda shomboKwa kuwa kampapasa shemeji yenu Hamisa ......Na jamaa alishakulaga kabla ya domo wenu
sioni mwenye beef na mwenzie hapo,naona kila mmoja ana mambo yake tu,hawana ukaribu kama ilivyo mimi na wewe.Kuongea unachokiona kuhusu Jambo si lazima uwe shabiki, by the way we unaonaje Mondi ana Beef na Kiba au Kiba ana Beef na Mondi? Eeh ashukuru sana maana angekua taabani sana