Dodoma: Aliyekuwa akisafirisha Mirungi afariki dunia wakati akijaribu kuwakimbia Polisi

Dodoma: Aliyekuwa akisafirisha Mirungi afariki dunia wakati akijaribu kuwakimbia Polisi

Wanakufaje ,temeke hapo chang'ombe wanatafuna na polisi wanawatazama wanakuwa washapigwa faini
 
Ukute askari wala hawakujua mambo ya mirungi ila waliona pikipiki haina plate namba wakataka kuikamata.
Imeelezwa kukamatwa kwa watu hao kumetokana na taarifa za kiintelejesia ambapo askari hao walikuwa nazo awali kuwa kuna vijana wanafanya shughuli hiyo na polisi kuweka mtego na kufanikisha wakiwa kwenye doria

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Wanaosafirisha Twiga wapandishiwa mishahara msafirisha mirungi afariki
 
Back
Top Bottom