Ushimen JF-Expert Member Joined Oct 24, 2012 Posts 40,828 Reaction score 99,523 Sep 18, 2023 #21 R.i.P Classmate...😪
K kina kirefu JF-Expert Member Joined Dec 14, 2018 Posts 15,188 Reaction score 18,583 Sep 18, 2023 #22 Wanakufaje ,temeke hapo chang'ombe wanatafuna na polisi wanawatazama wanakuwa washapigwa faini
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 301,577 Reaction score 754,412 Sep 18, 2023 #23 Tsh said: Ukute askari wala hawakujua mambo ya mirungi ila waliona pikipiki haina plate namba wakataka kuikamata. Click to expand... Imeelezwa kukamatwa kwa watu hao kumetokana na taarifa za kiintelejesia ambapo askari hao walikuwa nazo awali kuwa kuna vijana wanafanya shughuli hiyo na polisi kuweka mtego na kufanikisha wakiwa kwenye doria Sent using Jamii Forums mobile app
Tsh said: Ukute askari wala hawakujua mambo ya mirungi ila waliona pikipiki haina plate namba wakataka kuikamata. Click to expand... Imeelezwa kukamatwa kwa watu hao kumetokana na taarifa za kiintelejesia ambapo askari hao walikuwa nazo awali kuwa kuna vijana wanafanya shughuli hiyo na polisi kuweka mtego na kufanikisha wakiwa kwenye doria Sent using Jamii Forums mobile app
E Embezzler JF-Expert Member Joined Sep 8, 2023 Posts 2,290 Reaction score 5,716 Sep 18, 2023 #24 Warangi na mirungi Kama uji na mtoto. Cc mrangi mrangi og
Billie JF-Expert Member Joined Aug 13, 2011 Posts 13,588 Reaction score 22,752 Sep 18, 2023 #25 Wanaosafirisha Twiga wapandishiwa mishahara msafirisha mirungi afariki