Dodoma Aqua business

Dodoma Aqua business

Liper

Member
Joined
Jan 4, 2015
Posts
58
Reaction score
15
Hii ni kampuni inayojihusisha na mambo yote yanayohusiana na viumbe wa kwenye maji kwa maana ya ufugaji wa samaki. Tunatoa ushauri na mafunzo ya jinsi ya kuaandaa bwawa la samaki na ufugaji wa samaki kwa ujumla, kuuza vifaranga vya samaki kama sato, kambare n.k, kuuza chakula bora cha samaki, kutibu samaki kama watakuwa wanaumwa n.k. karibuni sana tupo Dodoma. Wasiliana nasi kwa namba 0786 909 993.
 
Fulsa nzuri hii ila kwa Dodoma sijui bwawa lake linakuaje
 
Mpo dodoma sehemu gani tuwatembelee?
 
Kwa yeyote anayehitaji kujua habari hizi za ufugaji wa samaki hapa Dodoma aje pale Barabara ya 12 kwenye duka la pembejeo za kilimo na mifugo liitwalo HELB AGRIBUSINESS utaulizia hapo ndio tunapatikana na utauliza maswali yako yote na utajibiwa.
 
Vizuri sana. Lakini nakushauri uitendee haki fani. Pia ni vema ukawasiliana na wizara husika kwa utambulisho na registration kwa faida yako na wananchi. Kila lakheri.
 
Back
Top Bottom