TANZIA Dodoma: Asia Saidi, Mwenyekiti wa BAWACHA afariki dunia kwa kupigwa na mshale

Duuh! tunakoelekea sio kabisa tukikoseana mtaan tunaanza kuwindana na mishale?

Pole kwa wafiwa
 

Vita vikali sana, bahati mbaya Mama watoto imemuangukia yeye ilhali hana kosa.

Nilitamani Huu mshale ungelimpata huyu Bwana Mkubwa Muhusika alietia mifugo shambani kwa mwenzake.

Hawa Wafugaji wanajeuri sana ,
Wamezowea kusababisha Mgomvi ya sampuli hii kila mahali.

Mimi Binafsi Nina shamba mwaka wa 10 huu nashindwa kupata mavuno stahiki kwa vibweka vya wafugaji jinsi walivyo washenzi.

''Natamani na mimi nimiliki Nshale nintafute Ntu wangu anayenitenda kila Mwaka kwenye shamba langu.

Shenzi sana Hawa Wafugaji, sasa Kampoteza Mkewe kwa Ushenzi wake
RIP Mama watoto,
na Mumeo ndio muhusika mkuu,atawajibika kwa kukusababishia Mauti.
Poleni wafiwa.
 
Inawezeka vipi kumuua mtu kwa kumlenga shabaha mtu aliekaa na mwezake?
 
Jamani ungesoma habari yote hayo maswali yako ungejijibu mwenyewe bila kugusa key nyingi kivile.
🤣 🤣 🤣 🤣
Inaonyesha jinsi ambavyo unafikiri kama watu huwa hawasomi. Hiyo heading story imekuwa edited comment yangu ilikuwa na habari ambayo ni nusu nusu. Usiwe unakurupuka next time.
 
Tutaamini vipi kuwa siyo la kisiasa?
 
Huyo aliyepiga mshale kwa makusudi na bahati mshale ulio tumika basi naye achomwe mshale
So sad, [emoji29][emoji29][emoji29][emoji29][emoji29][emoji29]....

Watu hawana huruma japo chembe dah
Apumzike kwa amani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…