Kuna mijitu ni mishabiki maandazi ya chanjo lakini mpaka leo haijachanja ni porojo tu..... tupo more than 60m+ chanjo 1m? Bado utasikia vituo vimejaa wachanjwaji..
Hiyo mosi pili mpaka sasa uchanje usichanje hakuna tofauti... unaambukizwa, unaambukizwa, severe iko palepale and most of vaccinated ndio wanapukutika almost 67% kwa ulaya na us.
Faida za kuchanja sana sana ni kupata visa so far.