Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
Walishindwa kumtegea mtego na kumkamata? kabla ya kuuwawa aliua wangapi kwa hiyo mishale yake.
Inamaana akienda kunya anakwenda na mishale yake? usiku akilala analala na mishale yake, akiwa anatombana anakuwa na mishale yake, akiwa anakula anakuwa na mishale yake?
Polisi wangekwenda usiku wa giza kali na kipaza sauto akiwa ndani, wangetangaza ajisalimishe na baada ya Tangazo wanapiga risasi mbili juu kumjulisha wanasilaha na hapo baada ya wito wa barua wiki kabla na sound note kwenye simu vikimtaka ajisalimishe kwa kituo chochote cha polisi.
Kuua tu mtu kama huyo wakati mwingine ni kumkosea Muumba, wapo wanaopaswa kuwawa mara moja na sio huyo mjingamjinga, huyo alipaswa tu kupewa kashikashi na shule kidogo anakuwa raia mwema.
WAPO WATU WAMETUMIA 626BILIONI KUHESABU WATU HUKU WAHESABIWA HAWANA MAJI, SHULE, HUDUMA ZA AFYA nk, hawa ndio walipaswa kutandikwa risasi.
Inamaana akienda kunya anakwenda na mishale yake? usiku akilala analala na mishale yake, akiwa anatombana anakuwa na mishale yake, akiwa anakula anakuwa na mishale yake?
Polisi wangekwenda usiku wa giza kali na kipaza sauto akiwa ndani, wangetangaza ajisalimishe na baada ya Tangazo wanapiga risasi mbili juu kumjulisha wanasilaha na hapo baada ya wito wa barua wiki kabla na sound note kwenye simu vikimtaka ajisalimishe kwa kituo chochote cha polisi.
Kuua tu mtu kama huyo wakati mwingine ni kumkosea Muumba, wapo wanaopaswa kuwawa mara moja na sio huyo mjingamjinga, huyo alipaswa tu kupewa kashikashi na shule kidogo anakuwa raia mwema.
WAPO WATU WAMETUMIA 626BILIONI KUHESABU WATU HUKU WAHESABIWA HAWANA MAJI, SHULE, HUDUMA ZA AFYA nk, hawa ndio walipaswa kutandikwa risasi.