LGE2024 Dodoma: CCM wapiga kura za maoni kuchagua Wagombea, CHADEMA watoa fomu kimyakimya, ACT na wengine mmh

LGE2024 Dodoma: CCM wapiga kura za maoni kuchagua Wagombea, CHADEMA watoa fomu kimyakimya, ACT na wengine mmh

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mzee wa Code

Member
Joined
Sep 23, 2024
Posts
61
Reaction score
91

20241023_105449.jpg

20241023_111925.jpg
Baada ya zoezi la uandikishaji kukamilika na waziri wa Tamisemi kutangaza kuwa walijitokeza kujianidkisha katika taftari la kupiga kura la wakazi, na Dodoma ikitajiwa kuwa na idadi kubwa ya waliojiandikisha ambapo kwa mujibu wa waziri wa Tamisemi Mohamed Mchengelwa amesema kuwa Dodoma wamejitokeza wapiga kura kwa %91

Takwimu hii imenifanya nijisogezea mitaa mbalimbali kushuhudia zoezi la upigaji kura nikianzia Mtaa wa Hazina ambapo nimekuta wanachama wa ccm wakipiga kula ya kuchangua wagombea watakaoiwakirisha Ccm katika uchaguzi wa serikali za mitaa, hapa nilishudia wanachama wa ccm wa mtaa wa mwaka wakapiga kura kwa utulivu ambapo kabla ujapiga kura viongozi wa ccm wanakagua kama kweli, lewe ni mwanachama kwa ufupi mtaa wa hazina viongozi wa ccm tawi ili walikuwa wamekaza balaa wakomaa wanachama pekee ndio wapiga kura halali


Screenshot 2024-10-23 182607.png
Mambo ni tofauti kidogo mitaa ya Mlezi hapa, yoyote anapiga kura awe na kadi au ana, yani mitaa ya mlezi hawazingatii wanachama kabisa, hapa wagombea wanapiga kampeni wazi wazi bila shaka, na mmoja, ya wazimamizi yeye mwenyewe ni m'ombra kwaiyo anasimamia uchaguzi uku anapiga kampeni, jambo la kuvutia mitaa ya Mlezi msimamizi mmoja wapo anatoa elimu ya upigaji kura

Katika pita zangu nikapita mitaa ya Chamwino Bonanza hapa ni mwendo mdundo yoyote anapiga kura hakuna kukaguliwa wala nini ni, nimeshudia idadi kubwa ya wanafunzi wa madrasa ya Halfa Hongera wykiwa wengi mno kwa ufupi hapa mmoja wa wagombea ameitumia nafasi hii ya Demokrasia ya upigaji kura kuzoa wasiokuwa wanachama waje kumpigia kura

Kwa siku ya Leo siku hii ya Leo October 23, ccm wametawara jiji la Dodoma uku vyama vingine michakato yaka ikiwa ni kimya kimya ambapo Chadema wamekuwa wakiendelea na zoezi la uchukuaji fomu, Act hawaonekani kabisa.
 

Attachments

  • 20241023_114020.mp4
    40.5 MB
  • 20241023_105210.mp4
    80.9 MB
  • 20241023_114123.jpg
    20241023_114123.jpg
    928.8 KB · Views: 6
..Ccm inawezeshwa na ruzuku ya sh BILLIONI 3.2 kila mwezi. Ndio maana wanaonekana kutamba kila mahali.

..Chadema, Act, Cuf, na wapinzani kwa ujumla, wanategemea michango toka kwa wananchi, na sote tunaelewa hali ya uchumi ya waliowengi.
 
Baada ya zoezi la uandikishaji kukamilika na waziri wa Tamisemi kutangaza kuwa walijitokeza kujianidkisha katika taftari la kupiga kura la wakazi, na Dodoma ikitajiwa kuwa na idadi kubwa ya waliojiandikisha ambapo kwa mujibu wa waziri wa Tamisemi Mohamed Mchengelwa amesema kuwa Dodoma wamejitokeza wapiga kura kwa %91

Takwimu hii imenifanya nijisogezea mitaa mbalimbali kushuhudia zoezi la upigaji kura nikianzia Mtaa wa Hazina ambapo nimekuta wanachama wa ccm wakipiga kula ya kuchangua wagombea watakaoiwakirisha Ccm katika uchaguzi wa serikali za mitaa, hapa nilishudia wanachama wa ccm wa mtaa wa mwaka wakapiga kura kwa utulivu ambapo kabla ujapiga kura viongozi wa ccm wanakagua kama kweli, lewe ni mwanachama kwa ufupi mtaa wa hazina viongozi wa ccm tawi ili walikuwa wamekaza balaa wakomaa wanachama pekee ndio wapiga kura halali

Mambo ni tofauti kidogo mitaa ya Mlezi hapa, yoyote anapiga kura awe na kadi au ana, yani mitaa ya mlezi hawazingatii wanachama kabisa, hapa wagombea wanapiga kampeni wazi wazi bila shaka, na mmoja, ya wazimamizi yeye mwenyewe ni m'ombra kwaiyo anasimamia uchaguzi uku anapiga kampeni, jambo la kuvutia mitaa ya Mlezi msimamizi mmoja wapo anatoa elimu ya upigaji kura

Katika pita zangu nikapita mitaa ya Chamwino Bonanza hapa ni mwendo mdundo yoyote anapiga kura hakuna kukaguliwa wala nini ni, nimeshudia idadi kubwa ya wanafunzi wa madrasa ya Halfa Hongera wykiwa wengi mno kwa ufupi hapa mmoja wa wagombea ameitumia nafasi hii ya Demokrasia ya upigaji kura kuzoa wasiokuwa wanachama waje kumpigia kura

Kwa siku ya Leo siku hii ya Leo October 23, ccm wametawara jiji la Dodoma uku vyama vingine michakato yaka ikiwa ni kimya kimya ambapo Chadema wamekuwa wakiendelea na zoezi la uchukuaji fomu, Act hawaonekani kabisa.

View: https://www.facebook.com/share/v/BX3MrrUGpDuZTvUC/
 
Back
Top Bottom