Clement paul
Member
- Oct 27, 2016
- 88
- 68
- Thread starter
-
- #81
Yni hata kabila hatufanani,akili tutafananaje..afu mmi cyo mzaliwa wa hapa,ila nimekulia hpa Dom.home kbisa moroSasa utofaut wako na mc pilipili ni nini? Hebu badilikeni acheni uporipori
Ila umesha copy ushamba wa watu wa dodoma soma comment hapo juu ya Master of the game maybe utaelewa kwanini umekuwa kituko hapa jukwaaniYni hata kabila hatufanani,akili tutafananaje..afu mmi cyo mzaliwa wa hapa,ila nimekulia hpa Dom.home kbisa moro
Mmi cjadhania kama ingeleta mzozo hivi kwa kuwa naona ni kawaida sana,cjaonyesha kitu kibaya.afu mmi picha zngu nying za geto San san nkiwa nafany mazoezi.pia brother wanaume hatutakiwi kujibizana hivyo,humu sehemu ya kuongeza marafiki,kubadirishn mawazo,mmi brother marafiki zangu wengi nawapatia mitandaoni yni kiamani,sasa humu dah imekuwa vurugu.boys cyo powa,sisi boys ndo tunaozikana tukumbuke.tunatakiwa tustiriane ktk makaburi.hmm,wa tz hatuna love sana, nimeshangaa sana ila kuna majamaa kadhaa hawajasema vitu sivyo.nimewakubali san, mtandao huu dah imekuwaje...no love hadi boys ipo hivi.bro cjui kama umenisomaDogo ushauri wangu ni bora urudi Facebook hizi fedheha umeziomba mwenyewe
Mmi ni muelew bro yni ww ungenambia moja kwa moja bro kuwa mdogo wangu umezingua ktk ili na ili mmi ngecheck kma kwl nimebug ningesema kweli bro nimebug.sasa kwa style hii boys tunakuwa hivi.dah cyo lengo la kuletwa mitandao ilo jama, boys vpi tupo hivi.mmi naweza kumtetea boy yoyte nkiona anaonewa hata kam simjui kwa Kuwa naimani kuwa cku moja anaweza labda akaja kunisaidia,au nkifa labda yye anaweza akaja kunistiri kaburini.iko ivo.friends wanatengenezwa sehmu nying san brother hata humu mitandaoni.Ila umesha copy ushamba wa watu wa dodoma soma comment hapo juu ya Master of the game maybe utaelewa kwanini umekuwa kituko hapa jukwaani
Ila usiwe mbishi Kama kakaako lemutuzi
Tofautisha boy na mwanaume, Kama unataka marafiki rudi Facebook, narudia tena soma comment ya master of the gameMmi cjadhania kama ingeleta mzozo hivi kwa kuwa naona ni kawaida sana,cjaonyesha kitu kibaya.afu mmi picha zngu nying za geto San san nkiwa nafany mazoezi.pia brother wanaume hatutakiwi kujibizana hivyo,humu sehemu ya kuongeza marafiki,kubadirishn mawazo,mmi brother marafiki zangu wengi nawapatia mitandaoni yni kiamani,sasa humu dah imekuwa vurugu.boys cyo powa,sisi boys ndo tunaozikana tukumbuke.tunatakiwa tustiriane ktk makaburi.hmm,wa tz hatuna love sana, nimeshangaa sana ila kuna majamaa kadhaa hawajasema vitu sivyo.nimewakubali san, mtandao huu dah imekuwaje...no love hadi boys ipo hivi.bro cjui kama umenisoma
Room yangu ndio lakn.kipende kitu chako brother hata kma cyo kizuri,wengi tunakosea kwa kuwa hatupendi vitu vyetu ila tunapenda vya wenzetu na hapo ndo tunapopotezewa.Jamani
Kuipata hapa naona itakuw mtihan San..Tofautisha boy na mwanaume, Kama unataka marafiki rudi Facebook, narudia tena soma comment ya master of the game
Yeah ni kweli nlikuwa napiga push up nyingi san kwa kuwa nlikuwa natafuta uzito wa mkono kwa kuwa mmi sipendi kupiga chuma.lakin kwa sasa nimepunguza kiwango cha push up yani napiga push chache tu na zile push up muhimu tu,baada ya hapo nafanya mengine ya kawaida.maana mmi najifunza michezo ya ngumi napenda so daily napasha geto bado cjaanza dojo kwa kuwa ni gharama.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa msee wngununua kitanda msee wangu
naona upo magetoni kwako mwenyewe umechill. tisha sana mwamba.Dodoma chang'ombe ndo home,full Amani kwa fasi hii.love my street.karbni mtaan kwngu...View attachment 1161530
toa na picha yako katika avatar, hili ni chaka la wahuni sio kama FBSawa msee wngu
Sawa sawa brother hapo nimekuelewa ndgu yangu,wwe ndo umenielekeza kama ndgu yako.wanaume mmi uwa naona kama wote ni ndugu so kwa mmi kwa upande wangu cjazoea kwamba mtu akikosea nimuanzishie vita ya maneno,napenda ukarimu napenda busara na ni mpole mno,sasa nkashangaa imekuwaje mbna vurugu afu kwa wanaume wenzangu afu hawaniambii tatizo nini.dah bro thanks kwa kuwa wew ni muelewa sana sana, hivyo ndo wanaume tunatakiwa tuishi brother. Tunakosea,tunapokosea tunarekebishan mambo yanakaa Sawa tunaunda kitu cha kujuana mwishowe watu mmekuwa kama ndgu mnasaidiana kma ikiwezekana.bro hapa home naish na rafiki angu lakn ndo kawa kama ndgu yangu yni tunasaidiana,mishe mda mwengin pamja tunapiga zikitokea kwa kuwa sisi ni tupo ktk mambo ya ufundi.Karibu Jf Man , ukisikia mwana yoyote huko anatafuta gari au anauza gari nicheki fasta tupige hela....Mimi naitwa Master of the game, muuzaji wa magari maarufu humu Jf.
Matusi na kejeli visikuumize sana,ni vile humu Jf hatuna desturi yakuweka picha zetu kwahiyo wengi wamestaajabu na kufadhaika...Haimaanishi kwamba watu wa humu sio wakarimu
Aise,kwahyo humu hakuna busara kabis ndgu??toa na picha yako katika avatar, hili ni chaka la wahuni sio kama FB
Pamoja san brother.naona upo magetoni kwako mwenyewe umechill. tisha sana mwamba.
Sawa sawa kaka kama ikitokea ntafanya ivo.tupo pamja san brotherKaribu Jf Man , ukisikia mwana yoyote huko anatafuta gari au anauza gari nicheki fasta tupige hela....Mimi naitwa Master of the game, muuzaji wa magari maarufu humu Jf.
Matusi na kejeli visikuumize sana,ni vile humu Jf hatuna desturi yakuweka picha zetu kwahiyo wengi wamestaajabu na kufadhaika...Haimaanishi kwamba watu wa humu sio wakarimu
Hiyo namba imemlenga jamaa na ni kwa ajil ya matizi maana yye pia ni mtu wa matizi.fatilia mwanzo wake kwanza brother mbna inakuwa tabu hivyo.tatzo nini brother mbna mambo ya ajabu hayaishi,understand me bro[emoji44][emoji44][emoji44]Ushimen ona hii[emoji115][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
Ngoja nikwambie kitu:Sawa sawa kaka kama ikitokea ntafanya ivo.tupo pamja san brother