Dodoma city to get first ring road

Dodoma city to get first ring road

Miradi hewa si mlikuwa mnataka Zuma awajazie kibakuli mweze kujenga SGR iliyokwama kwa zaidi ya miaka 10? Wewe mwenyewe ulianzisha nyuzi kadhaa hata kabla SGR yetu na Lamu port Kuanza ujenzi hata kabla ya Thika Road kukamilika, Hivo sasa mnakenua meno mkitudanganya vile miradi inaendelea kumbe ilikwama kitambooooooooo Baada ya vibakuli kukataliwa....Tanzania ovyo kabisa nyinyi mnarudisha East Africa na Africa kwa ujumla nyuma kimaendeleo. Geza na vilaza wenzako wekeni picha za Bagamoyo na SGR kama mnataka tuamini kweli hapa kazi tuu. Maneno mengi mpeleke huko uswazi.
Kwahiyo unataka kusema Yapi Merkezi kutoka Turkey wapo wanachimba makabuli??
 
Do you understand the meaning of soft loan? especially in government to govenment transactions? This is a Grant with no repayment period specified, "pay back when you can".
I have worked on these kinds of consecitional loans and I dont need to see the nitty gritty of the details
But you haven't worked with the Tanzanian government. You are just blubbering.
 
A doctor who has worked in TZ cannot treat a person from kenya. This is your logic? I think you are very illitrate, typical village mugikuyus..Enda ukauze mburoti maguta maguta thats where you fit
Afadhali hiyo fees ulilipiwa na equity ingenunua ATM machine nikue niki-withdraw pesa za mburoti maguta maguta.
 
Hatuna madini na tumewashinda kiuchumi wewe huoni hayo madini yenu ni kama laana.
Haha tulikua tunausoma mchezo Mwasiti tulia sasa uone shoo huoni sa hv hao mabwana zenu wwshaanza kutoka povu wanalialia tu huko na bado ndo kwanza game linaanza
 
Ni sawa bora haitahamishwa hadi Uchina ila vitukuu vitaendelea kuitumia.

The loan will be repaid across the generation, but the facility won't be there across the generation (at that time).
 
Back
Top Bottom