Miradi hewa si mlikuwa mnataka Zuma awajazie kibakuli mweze kujenga SGR iliyokwama kwa zaidi ya miaka 10? Wewe mwenyewe ulianzisha nyuzi kadhaa hata kabla SGR yetu na Lamu port Kuanza ujenzi hata kabla ya Thika Road kukamilika, Hivo sasa mnakenua meno mkitudanganya vile miradi inaendelea kumbe ilikwama kitambooooooooo Baada ya vibakuli kukataliwa....Tanzania ovyo kabisa nyinyi mnarudisha East Africa na Africa kwa ujumla nyuma kimaendeleo. Geza na vilaza wenzako wekeni picha za Bagamoyo na SGR kama mnataka tuamini kweli hapa kazi tuu. Maneno mengi mpeleke huko uswazi.