Wapi ambako hakuendeshwi na pesa ya Serikali?Shida ya Dodoma ni mkoa unaoendeshwa na pesa za serikali, mfano katikati ya mwezi hamna kbs biashara mishahara imwshakata
Kuna Ofisi kuu na ofisi za Kanda za tume ya atomicSijajua, ofisi za atomic hazipo tena Arusha? Majengo yao pale wanayafanyia nini?
Kuhusu bwawa nadhani umewahi sikia mradi wa bwawa la Farkwa ,Hilo ondoa shaka litakuwa kubwa kuliko hata Kidunda Dam.Dodoma imepangiliwa vizuri tena wakifanikiwa kujenga mabwawa ya maji huko Membe-Chamwino na Mvumi, Uwanja wa ndege Msalato, Uwanja wa Mpira hapo Nane nane na ring road road kukamilika hata Dar Es Salaam itasubiri sana kuipata. Arusha hali ya hewa yake ni nzuri lakini wakazi wake hawana nidhamu na utunzaji wa mazingira, tabia za kihuni na ubishi wa kijinga.
Serikali inatakiwa itengeneze mazingira mazuri zaidi ili miji kama Songea, Mtwara, Njombe, Kigoma Ujiji, Musoma iwe majiji bila kuisahau Tanga inawirishwe kurejea hadhi yake ya miaka 1970 hadi 1988 kulikuwa kumekucha balaa.
Miji inayokuwa kwa kutegemea nguvu za wananchi wenyewe bila kusaidiwa na serikali ni Mwanza, Morogoro, Singida, Simiyu na Kahama.
DODOMA kuko vizuri
1. UDOM (kijiji cha wasomi kuzunguka milima ya miamba)
2. Mpangilia wa ujenzi wa nyumba za kisasa unaridhisha ( barabara za kwenda Morogoro,, Arusha na Singida ni safi)
3. Magufuli Satellite City ni mfano mzuri wa miji ya kiserikali iliyojengwa kwa ubunifu wa kisasa na wazawa
4. Ikulu bora
5. Utulivu wa wenyeji wa jamii ya Kigogo (sio Warangi)
NB: Wilaya za Dodoma mjini, Mpwapwa na Kondoa ndio kongwe kuliko wilaya zingine ambapo zilianzishwa na wakoloni kabla ya uhuru kati ya 1913-1950
1. Wlaya ya Dodoma mjini ilianzishwa mwaka 1950 na ikatambulika kiserikali mwaka 1955
2. Wilaya ya Mpwapwa ilianzishwa mwaka 1929 lakini ikatambulika kiserikali mwaka 1952
3. Wilaya ya Kondoa ilianzishwa na Wajerumani mwaka 1916 lakini ikatambulika kiserikali mwaka 1926
4. Wilaya ya Kongwa ilianzishwa na Wajerumani mwaka 1947 kwa ajili ya kushughulika na mradi mkubwa za kilimo cha karanga lakini utawala uliowekwa wa mtemi Kalihinya ulishindwa kutimiza malengo ikafutwa na wakoloni mwaka 1949
Kasoro/Mapungufu
1. Ujenzi wa nyumba barabara ya Iringa hauridhishi
2. Barabara ya Dom-Moro kupitia majengo ya bunge haifai kwa sasa maana ni nyembamba inatakiwa iwe njia sita kuanzia bunge hadi Chamwino, Dom-Singida na Dom-Arusha kupitia Msalato barabara zinatakiwa kuwa njia nne
3. Bustani ya Nyerere Square inatakiwa iwekewe mfumo wa maji yanayoruka kama mvua ili kupoza hali ya hewa wakati wananchi wanapumzika hapo
4. Stendi ya daladala hapo Sabasaba ijengwe ya kisasa , pembeni yake zijengwe fremu za kupangisha wajasiriamali na miundo mbinu ya mifereji na mazingira viboreshwe
5. Fly over bridge zijengwe maeneo ya Nzuguni-Stendi ya Ndugai, Round about ya CDA, Mataa ya Chako ni Chako, eneo la bunge njia panda ya kwenda Ikulu Chamwino
6. Ukosefu wa bwawa kubwa lililopandwa miti kuzunguka ambalo litatumika kufanikisha mambo mbalimbali mtambuka kama chanzo cha maji, uhifadhi wa uoto, kupumzika na ku-refesh mind wakati mwisho wa wiki au mapumziko ya kitaifa
7. Ukosefu wa makumbusho wa tamaduni za Wagogo, Warangi na harakati za kutafuta uhuru hayatakiwi yawekwe kwenye ofisi za CCM (Chanzo cha kukua mji wa Idodomya ilianza kipindi cha biashara ya utumwa kabla na baada ya mwaka 1910 ambapo ndipo shughuli za ujenzi wa reli ya kati ulipita hapo chini ya Wajerumani
8 Hamasa ya utalii bado ndogo sana ukiwa jijini Dodoma
9. Inatakiwa kujengwa ICD kubwa Dodoma kwa hifadhi ya mizigo ya kutoka badarini ili kurahisisha uchukuaji na usambazaji kwenda mikoa inayopakana nayo kama Singida, Manyara, Arusha, Iringa nk
Broo Kwa taarifa Yako ,idara na taasisi za serikali zilizohamia Hadi Sasa ni chini ya 70% ,zinahamia Kwa stage kadiri ya serikali inavyopata pesa.Dodoma ni mji wa Serikali na Serikali imeshahamishia Wizara na Idara zake 90% na Ofisi zinaelekea kukamilka kwa 90% hivyo speed ya ujenzi wa Ofisi za Kiserikali uko 90% hakutakuwa na miradi mingi iliyobaki ya Serikali.NAWASILISHA.
Kama utafuatilia mapato ya Jiji la Dodoma kipindi Serikali inahamia yalifika hadi Bilioni 70 na kuzipita Halmashauri za Dar kwa sababu ya uuzaji wa viwanja, kwa sasa mapato yameshuka hadi Bilioni 30 kwa maana ya 50% na yataendelea kushuka kwa sababu niliyoonesha hapo juu.
Ushauri wangu kwa sasa Jiji waangalie njia mpya ya kuingiza mapato bila kutegemea ujio wa Serikali hapa Dodoma kama vile uwekezaji wa miradi mbalimbali kama Jiji la Dar,Arusha na Mwanza wanavyofanya.
Wananchi wa Dodoma watumie vyema fursa za Serikali kuwepo hapo kuwekeza maana naona speed ya Wafanyabiashara wa hapa Dodoma kuwekeza iko chini kulinganisha na majiji ya Dar,Mwanza na Arusha ambao yanajiendesha yenyewe bila kutegemea Serikali na ndio maana mapato yao yanapanda hayashuki.
IN GOD WE TRUST
Uwekezaji wa viwanda na biashara unaofanyika dodoma ni mkubwa tu hii ni mbali na ujio wa serikali kama unavosema wewe, dodoma sasa ina wawekezaji wengi sana....Arusha ikasome tena chekechea, Mwanza bado sana kwa dodoma ya sasa...Dar es salaam ilishakuwa siku nyingi dodoma iko njiani kuitafuta dar japo siku dodoma inakuwa kama dar tutegemee morogoro, pwani nayo kuwa miji mikubwa.Dodoma ni mji wa Serikali na Serikali imeshahamishia Wizara na Idara zake 90% na Ofisi zinaelekea kukamilka kwa 90% hivyo speed ya ujenzi wa Ofisi za Kiserikali uko 90% hakutakuwa na miradi mingi iliyobaki ya Serikali.NAWASILISHA.
Kama utafuatilia mapato ya Jiji la Dodoma kipindi Serikali inahamia yalifika hadi Bilioni 70 na kuzipita Halmashauri za Dar kwa sababu ya uuzaji wa viwanja, kwa sasa mapato yameshuka hadi Bilioni 30 kwa maana ya 50% na yataendelea kushuka kwa sababu niliyoonesha hapo juu.
Ushauri wangu kwa sasa Jiji waangalie njia mpya ya kuingiza mapato bila kutegemea ujio wa Serikali hapa Dodoma kama vile uwekezaji wa miradi mbalimbali kama Jiji la Dar,Arusha na Mwanza wanavyofanya.
Wananchi wa Dodoma watumie vyema fursa za Serikali kuwepo hapo kuwekeza maana naona speed ya Wafanyabiashara wa hapa Dodoma kuwekeza iko chini kulinganisha na majiji ya Dar,Mwanza na Arusha ambao yanajiendesha yenyewe bila kutegemea Serikali na ndio maana mapato yao yanapanda hayashuki.
IN GOD WE TRUST
..yaani mkuu unaamini kabisa kukiwa na airport mpya dom basi balozi zitahamia?ahahahah..sasa hv si airport ipo au mpaka International Airport?..well fahamu tu hata ikijengwa International Airport sio kigezo cha balozi kujaribu hata kuhamia dom..majirani tu hapo uganda embassy zote zipo kampala ila International airport ipo entebbe!..so preferred international airport kwa tz bado itabakia kuwa dsm na KIA kwa miaka mingi sana..sioni International flights zikija dom wakati hakuna abiria wa kutosha..hizi mambo ni economy na sio siasa!Broo Kwa taarifa Yako ,idara na taasisi za serikali zilizohamia Hadi Sasa ni chini ya 70% ,zinahamia Kwa stage kadiri ya serikali inavyopata pesa.
Kwa hiyo kuhusu ujenzi Bado upo saaana achilia mbali miundombinu mingine ya Kisasa ambayo inaendelea na itakayokuja Hadi Mji ufanane na Makao Makuu ya Nchi.
Huko baadae Balozi zote zinatakiwa kuhamia Dom,kinachokwamisha ni kwamba hakuna Airport Bado na taasisi zingine nyeti za kiusalama Bado hazijakamilisha kuhamia in full.
Acha kuchekesha mkuu eti hakuna abiria wa kutosha yaani Dodoma ikose abiria wakati ni makao makuu ya serikali,chama(maamuzi yote makubwa ya kitaifa/kinchi hufanyika Dodoma utake usitake),bunge,mahakama,idara zote za serikali(fikiria idadi ya watumishi wa serikali na wageni wengine wanaoenda Dom kilasiku kwenda kusolve issues zao) ,taasisi zote za serikali,wafanyabiashara,wafanyakazi,wawekezaji,vyuo vikuu,viwanda plus uwekezaji mkubwa wa serikali...yaani mkuu unaamini kabisa kukiwa na airport mpya dom basi balozi zitahamia?ahahahah..sasa hv si airport ipo au mpaka International Airport?..well fahamu tu hata ikijengwa International Airport sio kigezo cha balozi kujaribu hata kuhamia dom..majirani tu hapo uganda embassy zote zipo kampala ila International airport ipo entebbe!..so preferred international airport kwa tz bado itabakia kuwa dsm na KIA kwa miaka mingi sana..sioni International flights zikija dom wakati hakuna abiria wa kutosha..hizi mambo ni economy na sio siasa!
..mkuu hoja yangu sio kuwa na International airport..hoja ni balozi kuhamia kama kuna International Airport...kwa dom hata kama kuna International Airport tatu hakuna International flights zitakazoenda..elewa kuwa na International Airport na kuwa International flights ni vitu viwili tofauti..unaweza kuwa na International Airport jina ila hakuna International flights hata moja inayoenda kama hiyo ya songwe.!Acha kuchekesha mkuu eti hakuna abiria wa kutosha yaani Dodoma ikose abiria wakati ni makao makuu ya serikali,chama(maamuzi yote makubwa ya kitaifa/kinchi hufanyika Dodoma utake usitake),bunge,mahakama,idara zote za serikali(fikiria idadi ya watumishi wa serikali na wageni wengine wanaoenda Dom kilasiku kwenda kusolve issues zao) ,taasisi zote za serikali,wafanyabiashara,wafanyakazi,wawekezaji,vyuo vikuu,viwanda plus uwekezaji mkubwa wa serikali.
Just imagine kama Mbeya wamejengewa Songwe International Airport ....Dodoma kwa hizo added advantages walizonazo walipaswa kuwa na viwanja viwili vya ndege vya kimataifa.
Mkishavuta bangi zenu mnabaki kuropokwa tuWacha kuilinganisha Arusha na ujinga
Kwa nini hizo ndege zisiende ikizingatiwa kwamba ni jirani kwenda Ruaha National park kutokea Msalato Intel Airport?..mkuu hoja yangu sio kuwa na International airport..hoja ni balozi kuhamia kama kuna International Airport...kwa dom hata kama kuna International Airport tatu hakuna International flights zitakazoenda..elewa kuwa na International Airport na kuwa International flights ni vitu viwili tofauti..unaweza kuwa na International Airport jina ila hakuna International flights hata moja inayoenda kama hiyo ya songwe.!
Tunawakumbusha watu wa Arusha na Mwanza,Kwa Mara nyingine Dodoma imewapiga bao kwenye FDI kwa mwezi August.Zaifi ya bil.100 zinaensa kuwekezwa.Mkishavuta bangi zenu mnabaki kuropokwa tu
Ndani ya miezi miwili mwanza imerekodi miradi 11 ..dodoma 6 Arusha 3 [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Tunawakumbusha watu wa Arusha na Mwanza,Kwa Mara nyingine Dodoma imewapiga bao kwenye FDI kwa mwezi August.Zaifi ya bil.100 zinaensa kuwekezwa.
Nawakumbusha pia Toka January hakuna mwezi imepita bila kuripoti private investments so wale wa hadithi za Sijui Ni miradi ya Serikali Waanze kujiandaa kisaikolojia View attachment 2747937
Leta na takwimu za JulyTunawakumbusha watu wa Arusha na Mwanza,Kwa Mara nyingine Dodoma imewapiga bao kwenye FDI kwa mwezi August.Zaifi ya bil.100 zinaensa kuwekezwa.
Nawakumbusha pia Toka January hakuna mwezi imepita bila kuripoti private investments so wale wa hadithi za Sijui Ni miradi ya Serikali Waanze kujiandaa kisaikolojia View attachment 2747937
Tulishaweka humu,kama vipi ingia Mwenye kwenye tovuti ya TICLeta na takwimu za July
Kinacho mata ni value si ajabu Kagera itawapita kiuchumi hivi hivi mnaona.Ndani ya miezi miwili mwanza imerekodi miradi 11 ..dodoma 6 Arusha 3 [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mwezi July... dodoma haikurekodi hata mradi mmoja.mwanza ilikuwa na miradi 6 na iliongoza Kwa kutengenezea ajira wakati dodoma haikutengeneza ajira hata mojaKinacho mata ni value si ajabu Kagera itawapita kiuchumi hivi hivi mnaona.
Wewe endelea kushangilia namba ya miradi.
Kwan hyo miradi ni ya FDI tuTunawakumbusha watu wa Arusha na Mwanza,Kwa Mara nyingine Dodoma imewapiga bao kwenye FDI kwa mwezi August.Zaifi ya bil.100 zinaensa kuwekezwa.
Nawakumbusha pia Toka January hakuna mwezi imepita bila kuripoti private investments so wale wa hadithi za Sijui Ni miradi ya Serikali Waanze kujiandaa kisaikolojia View attachment 2747937