Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

Arusha kwisha habari yenu kwenye Utalii 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DGk85q2Nj3Y/?igsh=MXJjM20xbzJxdDY2bQ==

Kwahiyo Serengeti wanapata international airport kabla ya mwanza😂 sijui ndugu zangu kina kitombile Wana hali gani manake walisema watalii wa Serengeti watakua wanashukia mwanza si Arusha tena😀 by the way Serengeti ilishatufaidisha sana sasa hiv tunahamia kwenye conference tourism bila kusahau bado tuna tarangire, lake manyara, Arusha national park, lake natron, Olduvai George, lake eyasi, Mt Meru na Baba lao Ngorongoro crater
 

Huko pa kawaida sana usifananishe chuga na vitu vya ajabu hapo hata kwa burka a town haijafikia wewe
Tunachokosa chuga ni watu wa mitandaon tu wasio na kazi waibrand chuga yetu😂😂
Kazi Kubwa wanaifanya kwa watu wa nje ya nchi tu, chuga ukiipita kwa barabaran huwezi kuelewa unaweza kudhan hata mapato ya TRA kwa Arusha Kuwa ya pili nyuma ya Dar tu au Kuwa ya pili kwa maghorofa mengi Huwa wanatunga ingia ndan ndani uone mambo chuga Kuna gated communities za kutosha tu
Nasema Kila siku chuga ikijipata ndio mji pekee wa kuiwakilisha hii nchi kimataifa by far
Hatuwalaumu kwa vile haya mambo Dodoma bado ni mageni kwenu
Ona video hiyo hapo ni Burka outskirts tu za Arusha

View: https://vm.tiktok.com/ZMBNSsS84/
 
Huko pa kawaida sana usifananishe chuga na vitu vya ajabu hapo hata kwa burka a town haijafikia wewe
Tunachokosa chuga ni watu wa mitandaon tu wasio na kazi waibrand chuga yetu😂😂
Kazi Kubwa wanaifanya kwa watu wa nje ya nchi tu, chuga ukiipita kwa barabaran huwezi kuelewa unaweza kudhan hata mapato ya TRA kwa Arusha Kuwa ya pili nyuma ya Dar tu au Kuwa ya pili kwa maghorofa mengi Huwa wanatunga ingia ndan ndani uone mambo chuga Kuna gated communities za kutosha tu
Nasema Kila siku chuga ikijipata ndio mji pekee wa kuiwakilisha hii nchi kimataifa by far
Hatuwalaumu kwa vile haya mambo Dodoma bado ni mageni kwenu
Ona video hiyo hapo ni Burka outskirts tu za Arusha

View: https://vm.tiktok.com/ZMBNSsS84/

Povu.😂😂

Mwanza na Arusha mnazidiana alums tuu otherwise hakuna kitu Cha kusogelea Kwa Dom HQ
downloadfile-38.jpg
downloadfile-37.jpg
14-592x436.jpg
GessX6ibsAA41Nt.jpg
49561309-a57f-4470-b47f-11dd3e29915c.jpg
05e307dc-acbc-48b8-a208-23b5f89b736d-592x444.jpg
 
Povu.😂😂

Mwanza na Arusha mnazidiana alums tuu otherwise hakuna kitu Cha kusogelea Kwa Dom HQ View attachment 3266066View attachment 3266067View attachment 3266068View attachment 3266069View attachment 3266070View attachment 3266071
Kwa hiyo pale iyumbu ndio wamewajengea kama nyumba za shule😇 ase Msilinganishe Arusha na vitu vya ajabu bhana kapambaneni kwanza na mwanza mshindi aje tushindane
Hebu hizo nyumba npostie kwenye Google maps kama hizi uje tucheke wote😂
 

Attachments

  • Screenshot_20250310-214120.jpg
    Screenshot_20250310-214120.jpg
    795.1 KB · Views: 1
  • Screenshot_20250310-214057.jpg
    Screenshot_20250310-214057.jpg
    760.4 KB · Views: 2
  • Screenshot_20250310-214052.jpg
    Screenshot_20250310-214052.jpg
    776.2 KB · Views: 2
Kwa hiyo pale iyumbu ndio wamewajengea kama nyumba za shule😇 ase Msilinganishe Arusha na vitu vya ajabu bhana kapambaneni kwanza na mwanza mshindi aje tushindane
Hebu hizo nyumba npostie kwenye Google maps kama hizi uje tucheke wote😂
Arusha Kuna shule yeyote ilivyopangwa na kujengwa kama Iyumbu kama unavyodai?

Hizo picha za mipango Miji ulizookoteza google ni slums extension tuu 😂😂

Dom HQ 🔥👇
IMG_4089.jpeg
IMG_4087.jpeg
IMG_4086.jpeg
IMG_4085.jpeg
IMG_4084.jpeg
 

Attachments

  • Screenshot_20250310-214847.jpg
    Screenshot_20250310-214847.jpg
    844.9 KB · Views: 1
Back
Top Bottom