Kwahiyo Serengeti wanapata international airport kabla ya mwanzaπ sijui ndugu zangu kina kitombile Wana hali gani manake walisema watalii wa Serengeti watakua wanashukia mwanza si Arusha tenaπ by the way Serengeti ilishatufaidisha sana sasa hiv tunahamia kwenye conference tourism bila kusahau bado tuna tarangire, lake manyara, Arusha national park, lake natron, Olduvai George, lake eyasi, Mt Meru na Baba lao Ngorongoro craterArusha kwisha habari yenu kwenye Utalii ππ
View: https://www.instagram.com/p/DGk85q2Nj3Y/?igsh=MXJjM20xbzJxdDY2bQ==
Huko pa kawaida sana usifananishe chuga na vitu vya ajabu hapo hata kwa burka a town haijafikia wewe
Huko pa kawaida sana usifananishe chuga na vitu vya ajabu hapo hata kwa burka a town haijafikia wewe
Tunachokosa chuga ni watu wa mitandaon tu wasio na kazi waibrand chuga yetuππ
Kazi Kubwa wanaifanya kwa watu wa nje ya nchi tu, chuga ukiipita kwa barabaran huwezi kuelewa unaweza kudhan hata mapato ya TRA kwa Arusha Kuwa ya pili nyuma ya Dar tu au Kuwa ya pili kwa maghorofa mengi Huwa wanatunga ingia ndan ndani uone mambo chuga Kuna gated communities za kutosha tu
Nasema Kila siku chuga ikijipata ndio mji pekee wa kuiwakilisha hii nchi kimataifa by far
Hatuwalaumu kwa vile haya mambo Dodoma bado ni mageni kwenu
Ona video hiyo hapo ni Burka outskirts tu za Arusha
View: https://vm.tiktok.com/ZMBNSsS84/
Kwa hiyo pale iyumbu ndio wamewajengea kama nyumba za shuleπ ase Msilinganishe Arusha na vitu vya ajabu bhana kapambaneni kwanza na mwanza mshindi aje tushindanePovu.ππ
Mwanza na Arusha mnazidiana alums tuu otherwise hakuna kitu Cha kusogelea Kwa Dom HQ View attachment 3266066View attachment 3266067View attachment 3266068View attachment 3266069View attachment 3266070View attachment 3266071
Arusha Kuna shule yeyote ilivyopangwa na kujengwa kama Iyumbu kama unavyodai?Kwa hiyo pale iyumbu ndio wamewajengea kama nyumba za shuleπ ase Msilinganishe Arusha na vitu vya ajabu bhana kapambaneni kwanza na mwanza mshindi aje tushindane
Hebu hizo nyumba npostie kwenye Google maps kama hizi uje tucheke woteπ
Ngoja uone Google maps Inavoionyesha iyumbu yenuArusha Kuna shule yeyote ilivyopangwa na kujengwa kama Iyumbu kama unavyodai?
Hizo picha za mipango Miji ulizookoteza google ni slums extension tuu ππ
Dom HQ π₯π View attachment 3266084View attachment 3266085View attachment 3266086View attachment 3266087View attachment 3266088
Arusha will never come close to Dom HQ π₯ π₯ π πN
Ngoja uone Google maps Inavoionyesha iyumbu yenu
Sio hizo picha zenu mnavizia mvua inyeshe ndio mpigieπ
Mradi una maghorofa matatuπ
Mradi wa nyumba 3,500 inajengwa Kwa awamu.Mradi una maghorofa matatuπ
Arusha badonajitutumua Kwa Dom HQ? ππ
View: https://x.com/WizarayaUJ/status/1899848803882070522?t=qMVpgyb6dEQqa_ym4xH_DA&s=19