Na wewe una ujuaji wako wakijinga si ukafundishe kiswahili Somalia [emoji2] [emoji2]
Hivi wewe kuna uzi ambao hujawahi kuusoma? Na kupitia comment baada ya comment! Hongera hicho ni kipaji
Naona naye ameanza kuweka pozi za mdomo za KisepengwaMambo yatakuwa shwari tu shoo iko chini ya mdogo wangu le mutuz hakialibiki kitu
Kapeleke upuuzi wako SomaliaTatizo lako kubwa ni ufinyu wa uelewa. Laiti ungalijuwa kuwa JF inasomwa dunia nzima na haina mipaka usingeandika uliyoyaandika.
Kapeleke upuuzi wako Somalia
Labda za upande wa pili coz hata mi namuona wa kawaida. Kuna kitu cha mvuto kinafanya kaziHuyu anatumia nguvu gani? Mbona kuimba kwenyewe naona kawaida tu.
Hahahaha naona povu linakutoka rudi kwenu somalia tuone kama utakuwa na jeuri ya kuongea.Baada ya kugundua kuwa tatizo lako kubwa ni ufinyu wa uelewa, sasa nimeelewa pia una tatizo la elimu. Laiti ungalijuwa kuwa JF inasomwa dunia nzima na haina mipaka usingeandika uliyoyaandika.
You are simply an uneducated fool from an uneducated school.
Siyo bure ndo imewajaza wote hao?Dah huyu mtu hafai.
Hahahaha naona povu linakutoka rudi kwenu somalia tuone kama utakuwa na jeuri ya kuongea.
Hahaha povu litakutoka sana naona wewe elimu yako ya kukosoa watu hapa jfSomalia wanaishi binaada
Somalia wanaishi binaadam tena kwa jinsi unavyoandika wao ni bora mara milioni zaidi yako.
Hivi una miaka mingapi?
Wewe inaonesha si elimu na ufinyu mawazo tu uliyonayo bali hata umri wako Inaweza kuwa hata kujichambisha uzuri bado hujaweza.
Hahaha povu litakutoka sana naona wewe elimu yako ya kukosoa watu hapa jf
No but nia yako ni kudhalilisha watu sio kuelimisha. Ungependa kuelimisha ungefungua thread special ukafundishe watu kiswahili.Naam, kukosoa ni kuelimisha.
Inakuuma?
Hivo kwanini mnapenda Kumsumbua dada faiza?MBNA anasaidia kufanya corrections za kiswahiliTatizo lako kubwa ni ufinyu wa uelewa. Laiti ungalijuwa kuwa JF inasomwa dunia nzima na haina mipaka usingeandika uliyoyaandika.
Anafaa banaDah huyu mtu hafai.
Kwa nini mkuu?hahahahahahahaha doooh kweli dunia imevaa skirt
Wewe naona una utani na le mutuzNaona naye ameanza kuweka pozi za mdomo za Kisepengwa
ungalijuaTatizo lako kubwa ni ufinyu wa uelewa. Laiti ungalijuwa kuwa JF inasomwa dunia nzima na haina mipaka usingeandika uliyoyaandika.
Jamaa ndio dereva wao!?Mambo yatakuwa shwari tu shoo iko chini ya mdogo wangu le mutuz hakialibiki kitu
Ha ha ha ha ha ha ha jamaniNazidi kuambiwa sasa Diamond ameanza kazi ya kubembeleza watu watawanyike kwa sababu za kiusalama maana hali ni mbaya ila watu wamegoma.
Ngojea nipate zaid kisha nitarudi.