LGE2024 Dodoma: Halima Mdathiru ameshinda nafasi ya mwenyekiti Katika mtaa wa Kisabuje

LGE2024 Dodoma: Halima Mdathiru ameshinda nafasi ya mwenyekiti Katika mtaa wa Kisabuje

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Moja wapo ya mambo ambayo nilitamani kuyaona katika uchaguzi huu, ni kuona wanawake nao wanashinda katika nafasi walizawania.

Hongera sana na kafanye kazi haswa kwenye mtaa wako!
================
Katika mtaa wa Kisabuje Halima Mdathiru ameshinda nafasi ya mwenyekiti wa mtaa, ameeleza namna wananchi wake walivyo mwamini Halima kisabuje alikuwa mwenyekiti wa mtaa huo hivyo ameeleza kuendeleza maendeleo katika mtaa wa kisabuje

Soma Pia: Yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mkoa wa Dodoma 2024

 
Moja wapo ya mambo ambayo nilitamani kuyaona katika uchaguzi huu, ni kuona wanawake nao wanashinda katika nafasi walizawania.

Hongera sana na kafanye kazi haswa kwenye mtaa wako!
================
Katika mtaa wa Kisabuje Halima Mdathiru ameshinda nafasi ya mwenyekiti wa mtaa, ameeleza namna wananchi wake walivyo mwamini Halima kisabuje alikuwa mwenyekiti wa mtaa huo hivyo ameeleza kuendeleza maendeleo katika mtaa wa kisabuje

Soma Pia: Yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mkoa wa Dodoma 2024

Kashinda kwa tiket ya chama gani?
 
Muandishi kanjanja, watu kwenye content nzima wanatafuta Chama maneno mengi neno moja muhimu hamna. Tanzania ni kubwa hii sio kila mgombea ni kina baba levo Tanzania nzima wenye smartphone wanamjua.
 
Dodoma unategemea nini? Kuna watu wajinga kama wagogo? Kondoa ndio kuña watu wenye akili.
CCM wanashinda mpaka Machame kijijini... issue sio ujinga wa watu waeneo husika, hakuna demokrasia ya magharibi. Acha kukashifu makabila ya watu, kuna wahaya hawajaenda shule na maprofesa, ipo hivyo kwa wanyakyusa, wangoni, wapare n.k... don't take it personal.
 
CCM wanashinda mpaka Machame kijijini... issue sio ujinga wa watu waeneo husika, hakuna demokrasia ya magharibi. Acha kukashifu makabila ya watu, kuna wahaya hawajaenda shule na maprofesa, ipo hivyo kwa wanyakyusa, wangoni, wapare n.k... don't take it personal.
Kimeumana!
 
Back
Top Bottom