Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Moja wapo ya mambo ambayo nilitamani kuyaona katika uchaguzi huu, ni kuona wanawake nao wanashinda katika nafasi walizawania.
Hongera sana na kafanye kazi haswa kwenye mtaa wako!
================
Katika mtaa wa Kisabuje Halima Mdathiru ameshinda nafasi ya mwenyekiti wa mtaa, ameeleza namna wananchi wake walivyo mwamini Halima kisabuje alikuwa mwenyekiti wa mtaa huo hivyo ameeleza kuendeleza maendeleo katika mtaa wa kisabuje
Soma Pia: Yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mkoa wa Dodoma 2024
Hongera sana na kafanye kazi haswa kwenye mtaa wako!
================
Katika mtaa wa Kisabuje Halima Mdathiru ameshinda nafasi ya mwenyekiti wa mtaa, ameeleza namna wananchi wake walivyo mwamini Halima kisabuje alikuwa mwenyekiti wa mtaa huo hivyo ameeleza kuendeleza maendeleo katika mtaa wa kisabuje
Soma Pia: Yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mkoa wa Dodoma 2024