Zanzibar-Nyamwezi
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 1,244
- 766
tangu lini ccm wakafuata maslahi ya mwananchi?inasikisha sana hivi CCM wanashindwa kuwa na akili, hekima na busara? wao wanachaguliwa wa siri leo wanataka wazi hili swala litawagawa ccm wenyewe na dhambi hii haitakwisha
Kuchaguliwa kwa watoto vigogo kugombea Majimboni ni kioo tosha cha chama kukosa demokrasia. Watoto hao wanachaguliwa kwa kuwaogopa wazazi wao na kuepuka kuwaudhi.Basi.Si jambo jema hata kidogo
Mzee Tupatupa
Hofu gani unalenga mbona mimi siioni hiyo hofu labda huko kwenu bavicha.
mseng ni mseng hadi muhogo ukatike humoSafi sana kwa majibu yako kiongozi,nakuunga mkono,haya vitabu saba hayatumii akili,muda wote ni ushabiki wa kiseng-e tuuuu.
Kwenye vikao vya chama wameongea kwa kujiachia hakuna aliyetishwa njoo namlingine mkuu.
Huyo jamaa ana mambo ya kutia kichefu chefu sana
Lazima ccm msikie kichefu chefu sababu mmezoea kubaka democrasia nyie.nguvu nyingii akili kidogo.
Hofu gani unalenga mbona mimi siioni hiyo hofu labda huko kwenu bavicha.
Hofu gani unalenga mbona mimi siioni hiyo hofu labda huko kwenu bavicha.
Kwenye vikao vya chama wameongea kwa kujiachia hakuna aliyetishwa njoo namlingine mkuu.
Hofu gani unalenga mbona mimi siioni hiyo hofu labda huko kwenu bavicha.
Hofu gani unalenga mbona mimi siioni hiyo hofu labda huko kwenu bavicha.