Dodoma: Ikulu imejengwa juu ya Madini aina tofauti 28. Je, Tuipige mnada au tumpe Mwekezaji?

Dodoma: Ikulu imejengwa juu ya Madini aina tofauti 28. Je, Tuipige mnada au tumpe Mwekezaji?

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Salaam Wakuu,

Imegundulika Ikulu ya Tanzania iliyozinduliwa hivi karibuni iyopo Chamwino Jijini Dodoma, imejegwa Juu ya Madini tofauti 28 ikiwemo dhahabu

Sio Ikulu ya Chamwino tu, bali Dodoma yote na Wilaya zake zina Madini tofauti. Huko tuendako, Tujiandae Bunge kuhamishwa na kupewa Wawekezaji wa Madini hasa GGM.

Hii taarifa ni kwa mujibu wa Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST).
-1044243571.jpg
 
Singida huko gasi na mafuta soon wanaanza uza maana washachimba madini ya copa tumesha maliza kuchimba huko mkalama na sijui Kama serekali wanatambua hilo
 
Wathamanishe kwanza kiasi cha hayo madini
 
Walifanya kosa kutokufanya sterilization drilling kabla ya kuamua kupima viwanja na kugawa maeneo.
Inategemea na kiwango sio viwango vyote vinafaa kwa comercial,
 
Kijakazi, Kijakazi, unamwaga petrol kwenye moto, Mungu atakuhukumu, najua unachichea usichokijua
Kwa nini? Labda haujanielewa tu, kwenye Uislamu kuna kitu kinaitwa ummah na ndiyo muhimu lkn siyo Taifa, labda kama watageuza Taifa kuwa ummah kwa maana ya sharia state ambapo kila mti atakuwa Muislamu …
 
Makao makuu, pamoja na wagogo tunaweza kuhamisha Arusha
 
Back
Top Bottom