Tetesi: Dodoma Itakua Hivi...

Tetesi: Dodoma Itakua Hivi...

dafity

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2008
Posts
1,858
Reaction score
2,059
Baada ya Serikali kuanza kuhamia Dodoma sasa nimesikia ETI
1. Kasi ya kuibadili manispaa IWE JIJI imeongezeka na huenda mwakani 2017 Dodoma ikawa jiji la 6 hapa Tanzania.

2. Kituo kikubwa cha Televisheni kujengwa humo tofauti na sasa televisheni zinazoonekana Dodoma zote hurusha matangazo kutoka nje ya Dodoma

3. Usafiri wa treni ya kasi kwa reli ya kisasa (Standard Gauge) kuanzishwa kutoka Dodoma kwenda mikoa ya pembezoni

4. Ukumbi mkubwa wa mikutano kujengwa.

NB: Ifikapo mwaka 2020 Dodoma itakua imepiga hatua nyingi kimaendeleo. Hongera Rais wangu JPM kwa DHAMIRA YA DHATI uliyonayo. Aliahidi Nyerere na tunaamini Mungu atakuwezesha KUITIMIZA AHADI
 
Tunaomba 'master plan' ya mji tuione.
Na iwe mfano wa mipango miji.
Dar es salaam,viongozi wameishi miaka yote huku wakiona ujenzi holela.
Kwa nini wenzetu wameweza kuwa na miji yenye mpangilio sisi tushindwe?!
 
Usafi uzingatiwe isijekua kama bongo ilivyoshindikana tangu makamba na kandoro hadi leo
 
Hivi hili la kuhamia Dodom ailikua kwenye ilani ya chama chetu (walioisoma yote wataniambia, maana mi sikuimaliza ilikua na kubwa na mambo mengi)
Maana wenzangu walivyo na mzuka wa kuipongeza huu uamuzu nadhani wangekua na uwezo wangebeba majengo yote ya serikali wakayahamishia Dodoma ili ionekane mkuu wa kaya anatekeleza ahadi kwa kasi.
 
Omba omba wa Kigogo sijui wataendelea kuja Dar au sasa safari zao za "kikazi" kuja Dar zitakoma?
 
Darisalama pataitwa"mkoani' mradi was mwendokasi na basi zoote nao utahamia Dodoma!Dar itabaiki na Ma DCM
 
Baada ya Serikali kuanza kuhamia Dodoma sasa nimesikia ETI
1. Kasi ya kuibadili manispaa IWE JIJI imeongezeka na huenda mwakani 2017 Dodoma ikawa jiji la 6 hapa Tanzania.

2. Kituo kikubwa cha Televisheni kujengwa humo tofauti na sasa televisheni zinazoonekana Dodoma zote hurusha matangazo kutoka nje ya Dodoma

3. Usafiri wa treni ya kasi kwa reli ya kisasa (Standard Gauge) kuanzishwa kutoka Dodoma kwenda mikoa ya pembezoni

4. Ukumbi mkubwa wa mikutano kujengwa.

NB: Ifikapo mwaka 2020 Dodoma itakua imepiga hatua nyingi kimaendeleo. Hongera Rais wangu JPM kwa DHAMIRA YA DHATI uliyonayo. Aliahidi Nyerere na tunaamini Mungu atakuwezesha KUITIMIZA AHADI
haya ebu ngoja tuone utekelezaji
 
nikajua wanabeba maghorofa,viwanja vya kula bata na bahari yote wanapeleka dodoma
 
Baada ya Serikali kuanza kuhamia Dodoma sasa nimesikia ETI
1. Kasi ya kuibadili manispaa IWE JIJI imeongezeka na huenda mwakani 2017 Dodoma ikawa jiji la 6 hapa Tanzania.

2. Kituo kikubwa cha Televisheni kujengwa humo tofauti na sasa televisheni zinazoonekana Dodoma zote hurusha matangazo kutoka nje ya Dodoma

3. Usafiri wa treni ya kasi kwa reli ya kisasa (Standard Gauge) kuanzishwa kutoka Dodoma kwenda mikoa ya pembezoni

4. Ukumbi mkubwa wa mikutano kujengwa.

NB: Ifikapo mwaka 2020 Dodoma itakua imepiga hatua nyingi kimaendeleo. Hongera Rais wangu JPM kwa DHAMIRA YA DHATI uliyonayo. Aliahidi Nyerere na tunaamini Mungu atakuwezesha KUITIMIZA AHADI
believe me or not,kuhamia dodoma kutatikisa uchumi wa taifa kwa miaka kumi,sasa kama sasa watu wanalia maisha magumu wajue ndio watalia sana maana kuhamisha serikali sio kama kuhamisha kitanda kutoka chumba hiki kwenda chumba kile kunahitaji muda,pesa,mipango .njaa itatuua msimu huu
 
Tuombe Mungu watakao simamia process nzima wawe waaminifu, maana miradi mingi ya Serikali huwa haikosi makandokando.
 
Ngoja nijiandae na Mimi niende dodomaaa

Ova
 
Jambo kubwa na la msingi. RAMANI ya MJI wa Dodoma "Master plan" iheshimiwe. Hatutaki kuona jiji lingine OVYO kama ilivyo Dar es salaam.
 
Itasaidia pia kuumguza foleni Dar. Barabara ya Morogoro itaongeza ubize. Wanasiasa ndio wtakuwa wa kwanza huko wengine wataenda taratibu.
 
Back
Top Bottom