petro matei
JF-Expert Member
- May 11, 2014
- 803
- 937
Kwa we uwezi kuishi bila kukaa jirani na ikuluNgoja nijiandae na Mimi niende dodomaaa
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa we uwezi kuishi bila kukaa jirani na ikuluNgoja nijiandae na Mimi niende dodomaaa
Ova
Dar itabaki kua Dar tu mkuu... Ni kama Lagos na Abuja! ila Dodoma yetu bado sana ile mji umekomaa kama reli ya katiNa Dar je??
Wengine wapi mkuu? hivi dom hadi arusha pametengwa na mikoa mingapi?Itasaidia pia kuumguza foleni Dar. Barabara ya Morogoro itaongeza ubize. Wanasiasa ndio wtakuwa wa kwanza huko wengine wataenda taratibu.
Acha woga Mdukuzibelieve me or not,kuhamia dodoma kutatikisa uchumi wa taifa kwa miaka kumi,sasa kama sasa watu wanalia maisha magumu wajue ndio watalia sana maana kuhamisha serikali sio kama kuhamisha kitanda kutoka chumba hiki kwenda chumba kile kunahitaji muda,pesa,mipango .njaa itatuua msimu huu
wengine ni wafanyabiashara watakapoona kuna fursa. Hapa Dar bado pataendelea kuwikaWengine wapi mkuu? hivi dom hadi arusha pametengwa na mikoa mingapi?
And SO WHATBaada ya Serikali kuanza kuhamia Dodoma sasa nimesikia ETI
1. Kasi ya kuibadili manispaa IWE JIJI imeongezeka na huenda mwakani 2017 Dodoma ikawa jiji la 6 hapa Tanzania.
2. Kituo kikubwa cha Televisheni kujengwa humo tofauti na sasa televisheni zinazoonekana Dodoma zote hurusha matangazo kutoka nje ya Dodoma
3. Usafiri wa treni ya kasi kwa reli ya kisasa (Standard Gauge) kuanzishwa kutoka Dodoma kwenda mikoa ya pembezoni
4. Ukumbi mkubwa wa mikutano kujengwa.
NB: Ifikapo mwaka 2020 Dodoma itakua imepiga hatua nyingi kimaendeleo. Hongera Rais wangu JPM kwa DHAMIRA YA DHATI uliyonayo. Aliahidi Nyerere na tunaamini Mungu atakuwezesha KUITIMIZA AHADI
Duh. Huu utani mwingine mbayaZamu ya wagogo kupigwa mabom ya machozi
Marhabaaaaaaaa ndi ndi ndi.Watuachie Dar yetu pendwa! vipi kwenye bunge la bajeti DOM ilitajwa? Naskia harufu ya njaa kali yaja ! Shkamoo sirikali!