Tetesi: Dodoma je ni kweli kuna kimondo kimeanguka huko?

Tetesi: Dodoma je ni kweli kuna kimondo kimeanguka huko?

Si mwanga wa tahadhari huo...kweli ukiidhi na milembe sehemu moja lazima muwe na umilembelembe
 
[emoji74] [emoji74] [emoji74] [emoji74] Nadhani zile dawa za mbu za kuchoma wana mix na bangi kidogo sikuizi... Watakua wamevuta ule Moshi
Watu wa DODOMA bwana
Mirembeeeeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom