Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona atakuwa ameitwa kistaarabu kama Kangi mwana wa LugolaAmeitwa au amekamatwa?
Lugola yupo kwenye wakati mgumu kuliko mtanzania yoyoteNaona atakuwa ameitwa kistaarabu kama Kangi mwana wa Lugola
Huyu RPC namkubali sana. Yaani mlitaka hadi mtu awe maiti halafu mseme alikuwa anatania?? Huyo atakuwa sio Polisi. Huwezi linganisha shambulizi la Lisu na mpango mkakati wa kutaka kumuua Musiba.
Lisu hakuwahi kujaribiwa kuuawa ila sasa kama angerudi nadhani ndiyo mngejua kuwa Tz kuna ulinzi imara. Mwambieni arudi tu. Musiba awekewe ulinzi 24/7/52. Hatutaki kumpoteza mtu hata mmoja tena
Isije ikawa kama ile picha iliyo dairektiwa na mambo ya kileoHii inaitwa Mike Pompeo effect! Hspohapo mara Kibendera ameachiwa baada ya kukiri makosa.
Wahakikishe director wa hii movie amehitimu masomo vizuri isiwe kama zile series zilizopita.