google helper
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 9,623
- 13,759
hii serikali movies zake ni kama isidingo haziishi kila siku ni kipande kipandeJeshi la Polisi mkoani Dodoma linamshikilia mwanaharakati huru Cyprian Musiba kwa Mahojiano zaidi dhidi ya Malalamiko yake na tuhuma za kusambaza habari za kutaka kuuliwa kwenye magazeti na baadhi ya wanasiasa bila kuripoti kwenye vyombo vya dola jambo ambalo ni kinyume na Sheria.
Fomu za kuomba uzalendo zinapatikana wapi?wachukue malalamiko yake serious maana akiumia huyu mzalendo wakati alitoa taarifa mapema wananchi hatuwezi kuwaelewa,. maana hata Wangwe ilikuwa hivihivi
Yuko kondoa bwashee!
π€£π€£πππ€£π€£ yaani chama kile kinatwanga kivuli chake ! Kipanya bana ! Acha hizo banaaa !!View attachment 1368427
,,,,,π
Kwahiyo mwanaharakati huru ndio Gabriel Muthusi?hii serikali movies zake ni kama isidingo haziishi kila siku ni kipande kipande
Ile gari ya MO iko wapi sijui. Msumbiji/ Mombasa!Hii inaitwa Mike Pompeo effect! Hspohapo mara Kibendera ameachiwa baada ya kukiri makosa.
Wahakikishe director wa hii movie amehitimu masomo vizuri isiwe kama zile series zilizopita.
Mkuu umefikisha ujumbe vizuri sana, nasikitika hujaelewekaUnahitaji kula virutubisho kichwa kiko empty
Huyu RPC namkubali sana. Yaani mlitaka hadi mtu awe maiti halafu mseme alikuwa anatania?? Huyo atakuwa sio Polisi.
Huwezi linganisha shambulizi la Lisu na mpango mkakati wa kutaka kumuua Musiba.
Lisu hakuwahi kujaribiwa kuuawa ila sasa kama angerudi nadhani ndiyo mngejua kuwa Tz kuna ulinzi imara. Mwambieni arudi tu. Musiba awekewe ulinzi 24/7/52. Hatutaki kumpoteza mtu hata mmoja tena