Ndio mkuu hazina ukweli wowote, maana kupitia mtandao wa kijamii wa Dodoma jiji washamtakia kheri Ambundo ya kuondoka siku nyingi Ila watu walikuwa hawajui wanaenda wapi, Hadi Yanga ilipotoa majina ya wachezaji ambao watashiriki Kagame cup ndio jina la Ambundo likaonekanaNashkuru kwa ufafanuzi,kwaiyo taarifa za viongozi wa Dodoma kudai kuwa Ambundo bado ni mcheza wao ni uzushi?
Sishangai kwani mna kipaji cha kushinda mabonanzaMtani acha dharau basi[emoji115],ntakunyoosha tena ngao ya hisani wewe[emoji23]
Aliye comment hapo ni Simba, vikishavaa zile chupi za jero jero hujiona Madrid au Barecelona.Hawa washabiki wa Yanga fc nawashangaa sana.
Timu ikikosa matokeo siku moja tu wanaipa Jina la kejeri.
Hivi wanataka timu ishinde mechi zote.
Timu gani yenye uwezo huo duniani.
Waache Tabia ya kuifedhehesha timu.
Kuipa majina ya ajabu ajabu kama hili la.
Utaputapu.
Wattford wapo championship mkuukucheza ligi ya england inabidi nchi yako iwe top 70 kwenye rankings za fifa otherwise iwe special case kama ya samatta kucheza nchi ya ulaya for several years na caps za kutosha za team ya taifa au wanyama alivyopitia scotland plus simu ya raila odinga akiwa prime minister wa kenya aliyopiga kwa wakubwa huo UK ku lobby ili wanyhama aweze kucheza southmpton