Dodoma Jiji na Azam walinyimwa haki na marefa, leo Simba wanalia dhulma waliofurahia!

Dodoma Jiji na Azam walinyimwa haki na marefa, leo Simba wanalia dhulma waliofurahia!

Makavuli

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2024
Posts
1,425
Reaction score
1,829
Ile penalti waliyopata Simba kule Dodoma haikuwa halali, lakini mwamuzi aliwapa faida kwa kuwapa pointi 3. Timu ya Dodoma ililalamika, na kocha wao, Mexime, alionyesha kutoridhika. Lakini msemaji wa klabu aliwaambia waende TFF kama wana malalamiko zaidi!

Mechi dhidi ya Azam kule Zanzibar nayo haikuwa na amani. Kulikuwa na malalamiko mengi kuhusu magoli yaliyofungwa yakiwa offside, jambo ambalo lilimkasirisha sana kocha wa Azam. Hata hivyo, mashabiki na wanachama wa Simba walitetea matokeo hayo wakisema "hii ndiyo maana ya ubaya ubwela!"

Leo hii, mashabiki hao hao ambao hawana msimamo thabiti wanamlalamikia mwamuzi Kayoko. Wamesahau jinsi walivyodhulumu wenzao kwa msaada wa marefa. Hii ni sawa na utahira wa kiwango cha SGR! Kila mmoja anajua msemo, "ukiua kwa upanga, na wewe utakufa kwa upanga." Kama mwamuzi wa Dodoma alifanya makosa ya kibinadamu, basi hata Kayoko ametenda vile vile—ni makosa ya kibinadamu.

Haiwezekani mwamuzi akifanya makosa yanayokufaidi wewe, unafurahia na kusema amepitiwa tu. Lakini akifanya makosa kwa mwenzako, unaanza kutoa malalamiko ya kila aina. Hiyo si sawa hata kidogo! Neno "ubaya ubwela" litawarudia wenyewe maana sasa imejulikana wazi ni nini kinachomaanishwa. Ubaya na upendeleo kwa njia yoyote ile, ya halali au ya ovyo, ni mambo yanayojulikana kwa mashabiki hao. Lakini mwisho wa siku, tutafika mahali ambapo "ubaya ubwege" utawachoma wenyewe.

Wakati wenzako wanapolianzisha, wanajua pia jinsi ya kulimaliza. Hapo tutabaki tukiangalia nani atakuwa bingwa mwishoni mwa msimu.
 
1729396095233.jpg

Ubaya ubwela
 
Kwendeni hukoo..msitupigie kelele...mmebebwaa...
Au tuwakumbushe bao la kagera sugar...
Marefa wameoza...
 
Kwendeni hukoo..msitupigie kelele...mmebebwaa...
Au tuwakumbushe bao la kagera sugar...
Marefa wameoza...
Mtajiua Bure huo ndio ubaya ubwela, eacheni marefa wafanye kazi yao akuna cha kubebwa hapo mjitafakari vinginevyo mtadondosha sana point
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC.
22. Ubaya ubwege SC.
JamiiForums-31645776.jpeg
 
Tangu waletewe manzoki kwenye uchaguzi hawa makolo kweli ni mbumbumbu.
 
Ile penalti waliyopata Simba kule Dodoma haikuwa halali, lakini mwamuzi aliwapa faida kwa kuwapa pointi 3. Timu ya Dodoma ililalamika, na kocha wao, Mexime, alionyesha kutoridhika. Lakini msemaji wa klabu aliwaambia waende TFF kama wana malalamiko zaidi!

Mechi dhidi ya Azam kule Zanzibar nayo haikuwa na amani. Kulikuwa na malalamiko mengi kuhusu magoli yaliyofungwa yakiwa offside, jambo ambalo lilimkasirisha sana kocha wa Azam. Hata hivyo, mashabiki na wanachama wa Simba walitetea matokeo hayo wakisema "hii ndiyo maana ya ubaya ubwela!"

Leo hii, mashabiki hao hao ambao hawana msimamo thabiti wanamlalamikia mwamuzi Kayoko. Wamesahau jinsi walivyodhulumu wenzao kwa msaada wa marefa. Hii ni sawa na utahira wa kiwango cha SGR! Kila mmoja anajua msemo, "ukiua kwa upanga, na wewe utakufa kwa upanga." Kama mwamuzi wa Dodoma alifanya makosa ya kibinadamu, basi hata Kayoko ametenda vile vile—ni makosa ya kibinadamu.

Haiwezekani mwamuzi akifanya makosa yanayokufaidi wewe, unafurahia na kusema amepitiwa tu. Lakini akifanya makosa kwa mwenzako, unaanza kutoa malalamiko ya kila aina. Hiyo si sawa hata kidogo! Neno "ubaya ubwela" litawarudia wenyewe maana sasa imejulikana wazi ni nini kinachomaanishwa. Ubaya na upendeleo kwa njia yoyote ile, ya halali au ya ovyo, ni mambo yanayojulikana kwa mashabiki hao. Lakini mwisho wa siku, tutafika mahali ambapo "ubaya ubwege" utawachoma wenyewe.

Wakati wenzako wanapolianzisha, wanajua pia jinsi ya kulimaliza. Hapo tutabaki tukiangalia nani atakuwa bingwa mwishoni mwa msimu.
Hawakuelewi,wao ni mambumbumbu,mkuki kwa nguruwe kwa binadamu ni mchungu.
 
Ile penalti waliyopata Simba kule Dodoma haikuwa halali, lakini mwamuzi aliwapa faida kwa kuwapa pointi 3. Timu ya Dodoma ililalamika, na kocha wao, Mexime, alionyesha kutoridhika. Lakini msemaji wa klabu aliwaambia waende TFF kama wana malalamiko zaidi!

Mechi dhidi ya Azam kule Zanzibar nayo haikuwa na amani. Kulikuwa na malalamiko mengi kuhusu magoli yaliyofungwa yakiwa offside, jambo ambalo lilimkasirisha sana kocha wa Azam. Hata hivyo, mashabiki na wanachama wa Simba walitetea matokeo hayo wakisema "hii ndiyo maana ya ubaya ubwela!"

Leo hii, mashabiki hao hao ambao hawana msimamo thabiti wanamlalamikia mwamuzi Kayoko. Wamesahau jinsi walivyodhulumu wenzao kwa msaada wa marefa. Hii ni sawa na utahira wa kiwango cha SGR! Kila mmoja anajua msemo, "ukiua kwa upanga, na wewe utakufa kwa upanga." Kama mwamuzi wa Dodoma alifanya makosa ya kibinadamu, basi hata Kayoko ametenda vile vile—ni makosa ya kibinadamu.

Haiwezekani mwamuzi akifanya makosa yanayokufaidi wewe, unafurahia na kusema amepitiwa tu. Lakini akifanya makosa kwa mwenzako, unaanza kutoa malalamiko ya kila aina. Hiyo si sawa hata kidogo! Neno "ubaya ubwela" litawarudia wenyewe maana sasa imejulikana wazi ni nini kinachomaanishwa. Ubaya na upendeleo kwa njia yoyote ile, ya halali au ya ovyo, ni mambo yanayojulikana kwa mashabiki hao. Lakini mwisho wa siku, tutafika mahali ambapo "ubaya ubwege" utawachoma wenyewe.

Wakati wenzako wanapolianzisha, wanajua pia jinsi ya kulimaliza. Hapo tutabaki tukiangalia nani atakuwa bingwa mwishoni mwa msimu.
Ubaya ubwege
 
Back
Top Bottom