Dodoma Jiji walidhani jezi nyeusi ndio dawa ya kuidhibiti Simba, Utopolo wamewaponza

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Jana Dodoma jiji walivalia jezi nyeusi baada ya kudanganywa na utopolo kuwa ndio njia pekee ya kuikamata Simba kwenye mchezo huo, ni kweli mchezo ulikuwa mgumu sana baada ya kucheza defensive game huku sangoma akiwapa maelekezo namna ya kucheza.

Ila msimu huu mtatafutana sana, vaeni kila jezi lakini kazi mnayo.
 
Ni jambo la aibu na fedheha kujitutumua kuwa mmepiga mpira mwingi kwa Dodoma Jiji ambao hawajaweka kambi uturuki, Hawana pro ata mmoja na bado Simba imepata matokeo ya kawaida katika soka.

Simba inatakiwa itambe kwa kupiga soka safi na kupata matokeo mbele ya Yanga, Azam na Singida.

Ukiona timu yako ina struggle kupata matokeo kwa timu izo nilizo zi ainisha ujue timu yako ni ya kawaida na haitaweza kutwaa ubingwa.
 
Ndo za mchana hizi
 
Wewe utakuwa shabiki maandazi. Ihefu waliwafunga Yanga msimu uliopita kwa hiyo Yanga wali struggle? Mpira ni mchezo wa makosa anayefanya makosa ndio anafungwa.Na kwenye ligi mechi zote ni ngumu hakuna timu laini.
 
Wewe utakuwa shabiki maandazi.Ihefu waliwafunga Yanga msimu uliopita kwa hiyo Yanga wali struggle?Mpira ni mchezo wa makosa anayefanya makosa ndio anafungwa.Na kwenye ligi mechi zote ni ngumu hakuna timu laini.
Ni kweli tumeona ni mchezo wa makosa ya kibinadamu. Maana Makosa ya kibinadamu kwa mmoja ya timu maarufu apa nchini ni mengi.
 
Kwani Dodoma jiji jezi zao za ugenini ni zipi tuanzie hapo kwanza, tutajie jezi za ugenini walizozitambulisha kabla ya msimu kuanza ndio tutaijadili hoja yako kama ni mfu au ina mashiko!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Vipi tukiona timu inapokonywa ngao na timu ya kawaida?
 
Vipi tukiona timu inapokonywa ngao na timu ya kawaida?
Ilo linawezekana kwakua tumeaminishwa marefa wanaibeba mbumbumbu fc kwa makosa ya kibinadamu.
 
Ilo linawezekana kwakua tumeaminishwa marefa wanaibeba mbumbumbu fc kwa makosa ya kibinadamu.
Mmeaminishwa is the key word.Na mkaamini ili kujipa faraja.Ni vizuri unakiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…