Dodoma Jiji wanaweza kuifunga Yanga, Je refa atakubali?!

Dodoma Jiji wanaweza kuifunga Yanga, Je refa atakubali?!

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
20220513_13392991526.jpg

Mifano ya Yanga kusaidiwa ushindi na marefu ni mingi,haiesabiki. Dodoma Jiji wasiopohujumiwa na uongozi wanaweza kabisa kuifunga timu mbovu ya Yanga. Lakini najiuliza refa atakubali?!
 
Yanga inachotakiwa ni kushinda tu, iwe kihalali au si halali kikubwa ni ushindi tu. Kwa miaka minne Simba iliununua ubingwa Kwa pesa nyingi sana, Sasa hakuna shida na Yanga wakauchukua Kwa nguvu.
 
Vipi kuhusu yanga yeye ni wakufungwa tu?.
 
View attachment 2222867
Mifano ya Yanga kusaidiwa ushindi na marefu ni mingi,haiesabiki. Dodoma Jiji wasiopohujumiwa na uongozi wanaweza kabisa kuifunga timu mbovu ya Yanga. Lakini najiuliza refa atakubali?!
Acha Ushabiki wa Passo kuvuta Prado kitu ambacho mtu hawezi kubeti kwani ni bahati nasibu
Yaani kwa Akili ya kawaida unaweza kurate Dodoma Jiji juu ya Yanga kisa imetoa droo mfululizo?
Kosa la Yanga ilikuwa ni kumtaka Mayele Afunge ili awe mfungaji bora ila wakiamua kila forward afunge mbona utaona magoli mengi tu na ndicho watafanya leo....
 
Back
Top Bottom