SAIDI MWINYIMVUA
Member
- Oct 19, 2022
- 62
- 59
Yanga ndo wamewaahidiTimu ya Dodoma Jiji wameahidiwa Tsh mil. 30 kwenye mechi yao baadaye endapo kama wataifunga Yanga.
Kwa maana hiyo ikiwa Yanga itashinda katika hii mechi basi naamini hatutasikia tena maneno kutoka kwa maadui wa Yanga kuwa Yanga wametoa bahasha ili ipate matokeo.
Hizo milioni 30 zimetoka kwa GSM, kuzuga watu. Wakijua Lazima watawafunga tu. Dodoma jiji Ni tawi la Yanga.Timu ya Dodoma Jiji wameahidiwa Tsh mil. 30 kwenye mechi yao baadaye endapo kama wataifunga Yanga.
Kwa maana hiyo ikiwa Yanga itashinda katika hii mechi basi naamini hatutasikia tena maneno kutoka kwa maadui wa Yanga kuwa Yanga wametoa bahasha ili ipate matokeo.
Simba alimfunga dodoma jiji 3-0 kwa mkapa nayo gsm alitoa hela?heshimu uwezo wa yangaHizo milioni 30 zimetoka kwa GSM, kuzuga watu. Wakijua Lazima watawafunga tu. Dodoma jiji Ni tawi la Yanga.
Aliyeahidi Nani? Andika habari ikamilike ,unakimbilia wapi
Uongozi wa dodoma jiji kwa wachezaji wakeMaelekezo lazima yawepo,aliyeahidi hizo hela ni nani?
Haya ni mawazo ya hovyo kabisa kufikiri eti kuna timu ya Ligi kuu ni tawi la mwenzake hivyo inaingia kucheza ikijua inawaachia ifungwe? SHAME!!! Hebu tujikite kwenye mpira tuachane na mawazo ya kusadikikaHizo milioni 30 zimetoka kwa GSM, kuzuga watu. Wakijua Lazima watawafunga tu. Dodoma jiji Ni tawi la Yanga.
Tunajua jinsi ushindi wenu unavyopatikana. Si kwa uwezo wa mpira wa Yanga Bali hela za GSM.Bahasha zinatembea.Simba alimfunga dodoma jiji 3-0 kwa mkapa nayo gsm alitoa hela?heshimu uwezo wa yanga
Uwezo wenu halisi tutaushuhudia kombe la shirikisho Afrika.Simba alimfunga dodoma jiji 3-0 kwa mkapa nayo gsm alitoa hela?heshimu uwezo wa yanga
Yanga 4-1singida =bahasha alafu Simba 4-0 ruvu shooting=chama noma hao ndio mashabiki wa sembe fc walivyochanganyikiwa yaani mafanikio wapate wao tu ila wakipata wengine inakuwa mateso kwao yaan wanaamini ktk mpira wa nchi hii wao ndio wenye haki ya kupata furaha na si vinginevyoHaya ni mawazo ya hovyo kabisa kufikiri eti kuna timu ya Ligi kuu ni tawi la mwenzake hivyo inaingia kucheza ikijua inawaachia ifungwe? SHAME!!!
Hebu tujikite kwenye mpira na tuachane na mawazo ya kusadikika
Kimsingi Uekezaji wa Simba na Yanga kwenye mpira sio wa kutilia mashaka KWA MTU MWENYE AKILI!
Basi Simba nae alitoa bahasha ilia amfunge dodoma jijiTunajua jinsi ushindi wenu unavyopatikana. Si kwa uwezo wa mpira wa Yanga Bali hela za GSM.Bahasha zinatembea.
Sasa hivi mnapambana kufikia rekodi za Aseno.
Jinsi sembe fc wanavyoteseka na ushindi wa yangaDodoma jiji na tawi la Uto iyo ni zuga tu kutaka kumaliza upepo wa zengwe la Uto kununua mechi.
Km ni ivyo si mchezo maana ii kamati ni noma maana inawarubuni hadi makolo maana kila wanapokutana na yanga ushindi wao ni sareDodoma Jiji wanaongea kinyume. Wameahidiwa milion 30 Ili kuwaruhusu Yanga washinde.
Akina Mavunde lazima waisaidie Yanga ishinde.
Pale Yanga ipo Kamati maalumu kabisa ya kuratibu hizi Bahasha na kurubuni timu pinzani Ili Yanga ishinde.
Umevimbiwa mihogo. Sare Ni ushindi?Km ni ivyo si mchezo maana ii kamati ni noma maana inawarubuni hadi makolo maana kila wanapokutana na yanga ushindi wao ni sare
Simba ilishatoka huko. Hatuchezi mpira kutafuta unbeaten Ili kufanana na Aseno.Basi Simba nae alitoa bahasha ilia amfunge dodoma jiji