SAIDI MWINYIMVUA
Member
- Oct 19, 2022
- 62
- 59
Timu ya Dodoma Jiji wameahidiwa Tsh mil. 30 kwenye mechi yao baadaye endapo kama wataifunga Yanga.
Kwa maana hiyo ikiwa Yanga itashinda katika hii mechi basi naamini hatutasikia tena maneno kutoka kwa maadui wa Yanga kuwa Yanga wametoa bahasha ili ipate matokeo.
Kwa maana hiyo ikiwa Yanga itashinda katika hii mechi basi naamini hatutasikia tena maneno kutoka kwa maadui wa Yanga kuwa Yanga wametoa bahasha ili ipate matokeo.