This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 5,050
- 5,204
Pale Utopoloni wenye akili Ni wawili 2, yaani Mzee Manara na Jkikwete pekee.Haya ni mawazo ya hovyo kabisa kufikiri eti kuna timu ya Ligi kuu ni tawi la mwenzake hivyo inaingia kucheza ikijua inawaachia ifungwe? SHAME!!! Hebu tujikite kwenye mpira tuachane na mawazo ya kusadikika
Kimsingi Uekezaji wa Simba na Yanga sio wa kutilia mashaka KWA MTU MWENYE AKILI
Hao maadui wa Yanga kwa kuwa ni mbumbumbu, baada ya mechi watasema tu. Maana midomo ndiyo mali yao.Timu ya Dodoma Jiji wameahidiwa Tsh mil. 30 kwenye mechi yao baadaye endapo kama wataifunga Yanga.
Kwa maana hiyo ikiwa Yanga itashinda katika hii mechi basi naamini hatutasikia tena maneno kutoka kwa maadui wa Yanga kuwa Yanga wametoa bahasha ili ipate matokeo.
Aliewaita mbumbu wala hajakoseaPale Utopoloni wenye akili Ni wawili 2, yaani Mzee Manara na Jkikwete pekee.
Usijisahaulishe, Ushindi wa Tigo pesa uendeleee. Kuna siku akili zitakukaa sawa halafu utaelewa.
Yaan apa tz timu zote ni matawi ya yanga ila tawi kubwa la yanga ni Simba ndio maana tumelifunga mara nyingi kuliko ayo matawi mengine yoote madogo madogoPale Utopoloni wenye akili Ni wawili 2, yaani Mzee Manara na Jkikwete pekee.
Usijisahaulishe, Ushindi wa Tigo pesa uendeleee. Kuna siku akili zitakukaa sawa halafu utaelewa.
Hawatakujibu maana Wao ndio vibonde wa yanga kuliko timu zote dunianiYaan apa tz timu zote ni matawi ya yanga ila tawi kubwa la yanga ni Simba ndio maana tumelifunga mara nyingi kuliko ayo matawi mengine yoote madogo madogo
Yaan hawa jamaa sasa ivi kila yanga inaposhinda wao ni lawama tuHawatakujibu maana Wao ndio vibonde wa yanga kuliko timu zote duniani
Izo ni kelele za mfa maji.. Yanga ameshatawala soka la bongo Kwa Sasa na hamna kitu wanachoweza fanya Kwa Sasa, uwanjani wanabondwa na makombe yote wamenyang'anywa.. so kilichobaki tuwaache walie lie tu wapunguze machungu maana Wana maumivu makali sanaYaan hawa jamaa sasa ivi kila yanga inaposhinda wao ni lawama tu
Timu ina support ya Mavunde hiyo halafu Mavunde ni utopolo 100%. Hapo labda wameahidiwa hiyo 30m ili kulegeza kamba Mayele afunge tena.Timu ya Dodoma Jiji wameahidiwa Tsh mil. 30 kwenye mechi yao baadaye endapo kama wataifunga Yanga.
Kwa maana hiyo ikiwa Yanga itashinda katika hii mechi basi naamini hatutasikia tena maneno kutoka kwa maadui wa Yanga kuwa Yanga wametoa bahasha ili ipate matokeo.
Kuna timu iliyofungwa na Mayele maranyingi zaidi ya Simba?wenye kumbukumbu nisaidieni.Timu ina support ya Mavunde hiyo halafu Mavunde ni utopolo 100%. Hapo labda wameahidiwa hiyo 30m ili kulegeza kamba Mayele afunge tena.
Mara ngapiKuna timu iliyofungwa na Mayele maranyingi zaidi ya Simba?wenye kumbukumbu nisaidieni.
Na ii ndio akili halisi ya koloTimu ina support ya Mavunde hiyo halafu Mavunde ni utopolo 100%. Hapo labda wameahidiwa hiyo 30m ili kulegeza kamba Mayele afunge tena.
Mmetanguliza visingizioHizo milioni 30 zimetoka kwa GSM, kuzuga watu. Wakijua Lazima watawafunga tu. Dodoma jiji Ni tawi la Yanga.
Unateseka ukiwa wapi?Hizo milioni 30 zimetoka kwa GSM, kuzuga watu. Wakijua Lazima watawafunga tu. Dodoma jiji Ni tawi la Yanga.