This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 5,050
- 5,204
Pale Utopoloni wenye akili Ni wawili 2, yaani Mzee Manara na Jkikwete pekee.Haya ni mawazo ya hovyo kabisa kufikiri eti kuna timu ya Ligi kuu ni tawi la mwenzake hivyo inaingia kucheza ikijua inawaachia ifungwe? SHAME!!! Hebu tujikite kwenye mpira tuachane na mawazo ya kusadikika
Kimsingi Uekezaji wa Simba na Yanga sio wa kutilia mashaka KWA MTU MWENYE AKILI
Usijisahaulishe, Ushindi wa Tigo pesa uendeleee. Kuna siku akili zitakukaa sawa halafu utaelewa.