Dodoma kama jiji, barabara zake wekeni lami

Dodoma kama jiji, barabara zake wekeni lami

Yesu Anakuja

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2019
Posts
12,675
Reaction score
25,924
kwetu sisi ambao tuna makazi Dodoma, wakati fulani tunaenda kuishi Dodoma na wakati fulani tunarudi jijini, kuna kitu kinakera sana Dodoma, nacho ni barabara za mitaani, hata kipindi cha mvua mbacho wamesema hakiko mbali.(walituambia kuna uwezekano el ninyo ikaja october).

Serikali, Dodoma imepangwa vizuri sana, mnashindwa nini kuweka lami mitaani? barabara za tope na udogo wa kule ni mbaya unazamisha sana tairi za gari, kipindi cha mvua usiombe upite kwenye tope, gari lazima ilale, tofauti na tope la dsm na maeneo mengine ambayo unaweza kupita hata wakati wa mvua. dodoma ikinyesha udongo wake ni mbaya .

wekeni lami bwana.
 
kwetu sisi ambao tuna makazi Dodoma, wakati fulani tunaenda kuishi Dodoma na wakati fulani tunarudi jijini, kuna kitu kinakera sana Dodoma, nacho ni barabara za mitaani, hata kipindi cha mvua mbacho wamesema hakiko mbali.(walituambia kuna uwezekano el ninyo ikaja october). Serikali, Dodoma imepangwa vizuri sana, mnashindwa nini kuweka lami mitaani? barabara za tope na udogo wa kule ni mbaya unazamisha sana tairi za gari, kipindi cha mvua usiombe upite kwenye tope, gari lazima ilale, tofauti na tope la dsm na maeneo mengine ambayo unaweza kupita hata wakati wa mvua. dodoma ikinyesha udongo wake ni mbaya . wekeni lami bwana.
Pesa kuweka lami Dodoma inatoka wapi? Wagogo maskini hakuna utalii wala kilimo wala viwanda ni kwa nini wapendelewe wakati kodi kubwa inatoka Dar Ar Mwanza na Moshi? Tuanzie kwanza hapo
 
Pesa kuweka lami Dodoma inatoka wapi? Wagogo maskini hakuna utalii wala kilimo wala viwanda ni kwa nini wapendelewe wakati kodi kubwa inatoka Dar Ar Mwanza na Moshi? Tuanzie kwanza hapo

Hahaha kwamba hawazalishi chochote?
 
Pesa kuweka lami Dodoma inatoka wapi? Wagogo maskini hakuna utalii wala kilimo wala viwanda ni kwa nini wapendelewe wakati kodi kubwa inatoka Dar Ar Mwanza na Moshi? Tuanzie kwanza hapo
Huna akili na huna unachojua. Endelea na unachoweza siyo kwenye masuala kama haya.
 
kwetu sisi ambao tuna makazi Dodoma, wakati fulani tunaenda kuishi Dodoma na wakati fulani tunarudi jijini, kuna kitu kinakera sana Dodoma, nacho ni barabara za mitaani, hata kipindi cha mvua mbacho wamesema hakiko mbali.(walituambia kuna uwezekano el ninyo ikaja october). Serikali, Dodoma imepangwa vizuri sana, mnashindwa nini kuweka lami mitaani? barabara za tope na udogo wa kule ni mbaya unazamisha sana tairi za gari, kipindi cha mvua usiombe upite kwenye tope, gari lazima ilale, tofauti na tope la dsm na maeneo mengine ambayo unaweza kupita hata wakati wa mvua. dodoma ikinyesha udongo wake ni mbaya . wekeni lami bwana.
Mfano michesse road kutokea mirembe
 
Pesa kuweka lami Dodoma inatoka wapi? Wagogo maskini hakuna utalii wala kilimo wala viwanda ni kwa nini wapendelewe wakati kodi kubwa inatoka Dar Ar Mwanza na Moshi? Tuanzie kwanza hapo
hivi unajua wagogo pale mjini ni wachache sana, pale wamejaa watu wa makabila mengine. labda ungesema warangi kidogo. wagogo wamesukumwa pembeni ya mji huko.
 
Ohooo! Kumbe na vumbi!!!!
IMG-20220306-WA0010.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jibu hoja Dodoma wanachangia nini hadi wapendelewe kwa nini Singida au Morogoro wasipendelewe?
Kwani tuna serikali ya majimbo kwamba kwa vile Dodoma haichangii pakubwa haiwezi kujengwa? Centralised govt inaipa Dodoma nafasi ya kuendelezwa kama ilivyo Dar na mikoa mingine, even distribution ya maendeleo.
 
Back
Top Bottom