DODOMA: Kikao cha Kamati Kuu ya CCM (NEC) | 29.04.2021

Msidharau wazee nyinyi Chadema.
Hivi unajua moja la anguko la CDM ni kudharau wazee?
Wamebaki na mwenye chama pekee mzee Mtei na mwke wake ndio maana tunaita SACCOSS, hii SACCOSS ina mzee mmoja ambaye ndie mmiliki na mkwewe mmojaambae ndie mwendeshaji,kwisha. Wengine waliobaki ni wafagizi tu wa ofisi.
 
Raisi ambaye ni mjumbe kakaa meza kuu. Kwamba lile kundi la kutenganisha kofia limeshindwa
 
Wamebaki na mwenye chama pekee mzee Mtei na mwke wake ndio maana tunaita SACCOSS, hii SACCOSS ina mzee mmoja ambaye ndie mmiliki na mkwewe mmojaambae ndie mwendeshaji,kwisha. Wengine waliobaki ni wafagizi tu wa ofisi.
Kabisa,ukweli mtupu.
 
Lile kundi linaweweseka
...lakini hata awamu 4 wale wafaidika walijaribu kusogeza muda ili JK aendelee kuwa mwenyekigoda lakini ikashindikana
 
Ni kikao cha halmashauri kuu ya Kamati kuu(NEC) na sio Kamati kuu( NEC)

Kamati Kuu ya Mkutano Mkuu, au Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu.

Vinachanganya Sana. Halafu kuna sekretarieti ya kamati kuu daaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…