Dodoma: Majina matatu ya wagombea wa nafasi ya Skauti Mkuu, yapitishwa

Dodoma: Majina matatu ya wagombea wa nafasi ya Skauti Mkuu, yapitishwa

CV ya mtu haihusiani na demokrasia ya nchi, ni vizuri muhusika akupe CV yake badala ya wewe kujitungia, hata hivyo wewe si muhusika kwenye uteuzi wa wagombea aliyewateua ndiye anatakiwa aweke CV zao ili tujue vigezo vya uteuzi, usijipe madaraka yasiyokuhusu.
Wala sojaitunga kwa taarifa yako ni yake mwenyewe Rashid Mchatta na iko.correct asilimia 100

Bado Rashid Mchatta kijana ana nguvu na uwezo wa kutumikia skauti kwa kipindi kirefu
 
Vijana wa ccm wameona kua kiongozi wa mbio za mwenge haitoshi wamerudi kwa skauti
 
Sikiliza na soma tena ,Rais wa nchi amepewa majina matatu ili ateue Jina moja! Kwangu hii ni safi sana na fikiria Rais anapewa majina matatu ili ateue mmoja kuwa CJ,IGP,CDF etc etc ,scouts Tanzania mmeonyesha njia nzuri
 
Back
Top Bottom