CV ya mtu haihusiani na demokrasia ya nchi, ni vizuri muhusika akupe CV yake badala ya wewe kujitungia, hata hivyo wewe si muhusika kwenye uteuzi wa wagombea aliyewateua ndiye anatakiwa aweke CV zao ili tujue vigezo vya uteuzi, usijipe madaraka yasiyokuhusu.