Dodoma: Mume ajiua na kutoroka

Dodoma: Mume ajiua na kutoroka

Jeshi la Polisi linamtafuta mwanaume mmoja Benito Chalo (23) anayetuhumiwa kujiua na kutoroka.
Jeshi la Polisi linawaomba raia wema kutoa taarifa zitakazosaidia kukamatwa kwake.

Sent using Beretta ARX 160
🤣🤓🤓🤓🤓🤓
 
Dah akishikw uyo miak 100 jela
(50 y kujiua na 50 y kutorok)
 
Back
Top Bottom