Mtindiowaubongo, sema wewe ndugu yangu, wengine tunaambiwa tunajifanya tunajua kila kitu wakati shule yetu ndogo. Ugonjwa wa zinaa na vumbi na ukosefu wa maji wapi na wapi ?
Eti ``mtaalam`` unakuja kusema hadharani kwamba wanawake wa mikoa ya kati hawana hygiene nzuri, wana wadudu sehemu za siri, wanawawasha, na kwamba ``dawa ya kitaalam ni kukunwa kwa sex`` matokeo yake gonjwa linasambaa!!
Unasema kituko kama hicho kwenye jamvi la watu elfu saba halafu kinapitapita tu, kinaonekana ni somo kwa jamii!?
What does that say, MtindiowaUbongo, about our society and the level of awareness on basic things scientific ? Eenh?
Kinachonishangaza zaidi, kinachonisikitisha, ni kwamba mtu kama YournamesisMINE ambae kutokana na posti zake humu ame indicate kuwa yupo kwenye field ya healthcare, nae pia anatetea tetea utumbo kama huo. Anasema ``hata kama maelezo yana mapungufu`` ni sawa kwa sababu ni kawaida. Badala ya kutoa mchango wa anachokijua anaamua kutetea uongo na upuuzi wa Mwanjelwa.
Eti hawa Mwanjelwa's of the forum ndio wataalam wetu hapa, na watu kweli wanabugia bugia gibberish kama hizo! Huyu Mwanjelwa ni clown mmoja hivi, I am not worried about him, the concern ni kwamba watu hawaoni kwamba jamaa ni a goof off!
Hebu nambie Mtindio wa Ubongo, huu sio upuuzi mshkaji ?