Dodoma: Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe avamiwa, apigwa na kujeruhiwa na watu wasiojulikana

Wewe ni mke wa Mbowe ?,mbona unaghubu sana ?
 
Reactions: Dua
Sikiliza kauli yake ya jana juu ya uchungaji wa Peter Msigwa utagundua kitu.
 
Mwacheni ndo muda pekee aliobakinao kujiweka sawa mbele ya Mheshimiw Rais vinginevyo Bungeni harudi
 
Hakuna mtu wa ovyo kama Ndugai....Yupo level moja na Musiba mropokaji. Jitu zima ovyo.
Watu wa hovyo wakati mwingine ndio wanasema ukweli na kuepusha matatizo huko mbeleni. Wengine huwaita vichaa na wote wamewekwa hapa duniani, hawajawekwa tu ili wawe pale bali kuna kazi wanayofanya na Mwenyezi Mungu ndio anayeweza yote hayo.
 
Inaonekana Joyce Mkuya ni mtamu sana kuliko mke wa ndoa Lilian Mbowe, maana kila janga lazima ahusishwe
 
Inaonekana Joyce Mkuya ni mtamu sana kuliko mke wa ndoa Lilian Mbowe, maana kila janga lazima ahusishwe

"...Wanaume tumeumbwa, mateso, mateso, kuhangaika!......"
 
Huu Uzi unamdhalilishaga na kumtia aibu kubwa mh Mbowe!!!

Kwamba Ameonekana no yeye tu mnywa Pombe Tanzaniaa nzima!!

Msifukuage nyuzi za kuboa watu bhana
 
Gaidi aliangushwa na konyagi akipandisha ngazi kwa Joyce Mukuya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…