Dodoma: Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe avamiwa, apigwa na kujeruhiwa na watu wasiojulikana

Dodoma: Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe avamiwa, apigwa na kujeruhiwa na watu wasiojulikana

Kwa watu wenye akili watawadharau chadema kwa mipango yenu haiwezekan watu wamvamie mbowe uku wakisema jina la Rais pia watu watajua kua hua mnapanga Mambo yenu sababu ya ufhaifu wa serekal kwenye swala la ulinzi ndiomana hua mnatafuta maeneo ambayo mnajua kabisa hua Kuna walinz ili muishutumu serekal kwa kuhoji walinz walikua wap acheni ujinga


Basi mtuambie mbowe uo usiku alikua wap na alikua katoka kufanya nn? Na waliweza kumvamia vip
Kwahiyo nchi yetu ni dhaifu kiulinzi?
 
Washaanzisha Iterahamwe uliona hata Askofu Gwajima alitoa tangazo kwa lugha ambayo sio kiswahili la kuwahamasisha vijana wajiunge
Polisi walichukua hatua gani ?
Haya makundi ya kihalifu siku wanatemtetea anaindoka watajeuka waasi na itahitaji nguvu kubwa sana ya kijeshi kuwaondoa
Kweli kabisa, Na hii issue itaishia hewani tu
 
najaribu kujiuliza nakosa jibu nachanganyikiwa!!! M/KITI WA CHAMA TAIFA,KIONGOZI WA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI(WAZIRI MKUU KIVULI), MBUNGE,BUSINESS TYCOON, APIGWE NA WAHUNI?!!? YAANI HANA ULINZI WOWOTE HATA MABAUNSA?!!? HATA WAPAMBE?!!? NAKOSA MAJIBU
Wengine wanasema alikuwa kwa kimada sasa jamaa ake likamfumania
 
Haujatoa taarifa tu, ambapo ingetosha kutukusanya kujadili hii

Umeanza kuweka opinion zako na speculations which is wrong in reporting breaking news

Ungesema matukio ambayo recently mbowe na chadema kayafanya, ila sio kusema *kwa sababu this or that*

Unaua flow
Wewe ni mjinga tu, usinifundishe chochote; ukitaka soma, ukipenda acha, huna lolote wewe na wapuuzi wenzio humu ndani.

Mnajifanya vipofu kutokuona hali halisi, mnataka kuuaminisha umma Mbowe kashambuliwa na vibaka tu, narudia tena wewe na wenzako Englishlady, Mtazamo, Mzee Mwanakijiji, Ngabu ni wapuuzi.

Hao vibaka huwa wanawashambulia Chadema peke yao kwa nini? kuanzia Alphonce Mawazo, Lissu, diwani kule Iringa, na wengine...

Kama ni vibaka tu wa hayo matukio kwanini hatuoni polisi hata wakiwakamata wahusika, hivi nyie ni vipofu wa aina gani mliozoea kuona damu ya wapinzani inamwagika halafu mnaendelea kuleta upuuzi wenu hapa?

Kama polisi wanashindwa kuwakamata hao watu, mnataka tuamini vipi tofauti? kwanini hao vibaka hawawezi hata mara moja kuwashambulia na viongozi wa CCM nao tuone?

Msitake kuleta ustaarabu wenu wa kijinga wa maigizo usio na maana, nyie ndio mnaoleta siasa za kipuuzi, mnataka kutuaminisha ni vibaka wasiokamatwa siku zote, mnaleta hisia zenu za "vita ya ndani ya kwa ndani", hiyo vita ya ndani ndio ilisababisha Mawazo afe? nyie ni wapuuzi, kama ni hivyo kwanini polisi hawawakamati hao wahalifu?

Nyie ni wanafiki, wenye malezi ya kinafiki.
 
Kwa watu wenye akili watawadharau chadema kwa mipango yenu haiwezekan watu wamvamie mbowe uku wakisema jina la Rais pia watu watajua kua hua mnapanga Mambo yenu sababu ya ufhaifu wa serekal kwenye swala la ulinzi ndiomana hua mnatafuta maeneo ambayo mnajua kabisa hua Kuna walinz ili muishutumu serekal kwa kuhoji walinz walikua wap acheni ujinga


Basi mtuambie mbowe uo usiku alikua wap na alikua katoka kufanya nn? Na waliweza kumvamia vip
Vizuri umekiri kuwa nchi yetu ina ulinzi dhaifu.
 
Huu ushenzi sasa hauvumiliki hata kidogo, sijui aliyehuska lakni bila ya kukamatwa aliyehuska akiri zetu ni lazima lawamazote ni Kwa serikali hasa katika swala zima la ulinzi

Narudia tena, wanajaribu upole wetu ambao pia ulishagafika mwisho, tunataka waliohuska wote wamekamatwa kama ilivyokuwa Kibiti na maeneo mengine yaliyowahi kuwa na majaribio ya kuvunja Amani nchini mwetu

La sivyo, vyombo vya ulinzi sasa wanatulazimisha kuichukia serikali
 
Unajua ana Mke na watoto, hivyo haiwezekani kimada au awe mchepuko, itakuwa ni "wahuni" hii kisiasa na kifamilia ndio inakaa vizuri zaidi.

Na zaidi ya hapo hakuwepo hapo Maisha club sababu ya lockdown ya nchi jirani maana sisi hatufuati who directives , watakuwa "wahuni" wamemleta hapo
Aisee...

Jr[emoji769]
 
Bado itatokea sana if we dont wake up..Tuendelee kufundishwa adabu hivi hivii hadi akili zikae sawa..The psycopath is still leading the nation...Ndiye ambae hashtuki hata na lolote...
 
Inasikitisha sana na tabia hii ya kushambulia wapinzani haikubaliki pole mh mbowe
 
Najaribu kutafakari na kuchambua kwa kina kwani kila inapofika nyakati za uchaguzi mtia nia ndani ya Chadema lazima aumie au hata kufariki.

Rejea Chacha Wangwe
Rejea Sakata la Zitto na Issue ya kutaka kupewa sumu
Rejea shambulizi dhidi ya Lissu
n.k
Mwaka huu kaumizwa Mbowe(Pole kwake sana)
Je, kuna mtu kalipa kisasi?
Lakini kuna jambo lazima lichunguzwe ndani ya Chama cha Chadema.
 
Mmh hizi si dalili nzuri kabisa kuelekea uchaguzi mkuu... Njia zote zimeshindikana sasa hii ya kuumizana ndio silaha yao ya mwisho iliyobaki.. KUKICHWA KUTAMBAZUKA... WAKATI SI MILELE...

Jr[emoji769]
Kama matendo yao yanapelekea "kupendwa" kama wanavyojinasibu kuwa ni watetezi wa wanyonge. Kwanini wahangaike hivi kuhakikisha wanatoa uhai wa viongozi wa upinzano hasa CHADEMA?.
 
Hii taarifa ina ukakasi sana Ila wanaosema pia saa nane usiku alikuwa anatoka wapi wajitafakari sio lazima mtu ulale usiku Hata kama sio mlinzi mfano mimi nalala masaa saba na naweza kuyalala muda wowote hata mchana na usiku nika remain awake whole night, Lakini KUB kweli na Chairman of Chadema halindwi kweli? Tena kwa title yake yuko under protection na Armed guys iweje vibaka wamvamie, Btw lissu nae katangaza nia masaa kadhaa yaliyopita wacha tuweke akiba ya maneno na tumsubiri mwalimu asie danganya ambae ni "MUDA"
 
Back
Top Bottom