Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Kwahiyo nchi yetu ni dhaifu kiulinzi?Kwa watu wenye akili watawadharau chadema kwa mipango yenu haiwezekan watu wamvamie mbowe uku wakisema jina la Rais pia watu watajua kua hua mnapanga Mambo yenu sababu ya ufhaifu wa serekal kwenye swala la ulinzi ndiomana hua mnatafuta maeneo ambayo mnajua kabisa hua Kuna walinz ili muishutumu serekal kwa kuhoji walinz walikua wap acheni ujinga
Basi mtuambie mbowe uo usiku alikua wap na alikua katoka kufanya nn? Na waliweza kumvamia vip
Kweli kabisa, Na hii issue itaishia hewani tuWashaanzisha Iterahamwe uliona hata Askofu Gwajima alitoa tangazo kwa lugha ambayo sio kiswahili la kuwahamasisha vijana wajiunge
Polisi walichukua hatua gani ?
Haya makundi ya kihalifu siku wanatemtetea anaindoka watajeuka waasi na itahitaji nguvu kubwa sana ya kijeshi kuwaondoa
Hakika mkuu, inasikitisha sanaYaani LAANA yao si ndogo ndugu. Ndo maana hawafanikiwi.
Wengine wanasema alikuwa kwa kimada sasa jamaa ake likamfumanianajaribu kujiuliza nakosa jibu nachanganyikiwa!!! M/KITI WA CHAMA TAIFA,KIONGOZI WA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI(WAZIRI MKUU KIVULI), MBUNGE,BUSINESS TYCOON, APIGWE NA WAHUNI?!!? YAANI HANA ULINZI WOWOTE HATA MABAUNSA?!!? HATA WAPAMBE?!!? NAKOSA MAJIBU
Wewe ni mjinga tu, usinifundishe chochote; ukitaka soma, ukipenda acha, huna lolote wewe na wapuuzi wenzio humu ndani.Haujatoa taarifa tu, ambapo ingetosha kutukusanya kujadili hii
Umeanza kuweka opinion zako na speculations which is wrong in reporting breaking news
Ungesema matukio ambayo recently mbowe na chadema kayafanya, ila sio kusema *kwa sababu this or that*
Unaua flow
Vizuri umekiri kuwa nchi yetu ina ulinzi dhaifu.Kwa watu wenye akili watawadharau chadema kwa mipango yenu haiwezekan watu wamvamie mbowe uku wakisema jina la Rais pia watu watajua kua hua mnapanga Mambo yenu sababu ya ufhaifu wa serekal kwenye swala la ulinzi ndiomana hua mnatafuta maeneo ambayo mnajua kabisa hua Kuna walinz ili muishutumu serekal kwa kuhoji walinz walikua wap acheni ujinga
Basi mtuambie mbowe uo usiku alikua wap na alikua katoka kufanya nn? Na waliweza kumvamia vip
Hapa ndipo tunapoona ni siasa inafanyika!!!!! Anyway
Am fade up with politics of nowdays
Aisee...Unajua ana Mke na watoto, hivyo haiwezekani kimada au awe mchepuko, itakuwa ni "wahuni" hii kisiasa na kifamilia ndio inakaa vizuri zaidi.
Na zaidi ya hapo hakuwepo hapo Maisha club sababu ya lockdown ya nchi jirani maana sisi hatufuati who directives , watakuwa "wahuni" wamemleta hapo
hapo naanza kuumba jibuWengine wanasema alikuwa kwa kimada sasa jamaa ake likamfumania
Kama matendo yao yanapelekea "kupendwa" kama wanavyojinasibu kuwa ni watetezi wa wanyonge. Kwanini wahangaike hivi kuhakikisha wanatoa uhai wa viongozi wa upinzano hasa CHADEMA?.Mmh hizi si dalili nzuri kabisa kuelekea uchaguzi mkuu... Njia zote zimeshindikana sasa hii ya kuumizana ndio silaha yao ya mwisho iliyobaki.. KUKICHWA KUTAMBAZUKA... WAKATI SI MILELE...
Jr[emoji769]