Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 15,416
- 22,334
Ndiyo vizuri itaruhusu mshanganyiko wa makabila hiyo ni fursa kama wazaramo wa dar wameuza viwanja bei chee sasa dar ni mseto wa makabila mbalimbali .tena inasaidia mipango miji kuwa rahisi kufidia masikini ni rahisi kuliko tajiriKiwango na kina cha umaskini Dodoma kinaizidi Morogoro.
Japo naskia kinacho waponza hao Wagogo ni kule kun'gan'gania CCM
Sent using Jamii Forums mobile app