Mkuu umeshaambiwa kiwanda kinaajiri mtu mmoja hata kwa mama halima muuza mihogo pia ni kiwanda maana pale kuna michakato mbalimbali inafanyika kabla bidhaa haijamfikia mteja;Kwa hiyo ya viwanda 100 kila mkoa cha mtoto, sasa ni kiwanda kila mtaa.
Ni "kweriiii...kweri kabisaaa...yeeeeebaaa"!Mkuu umeshaambiwa kiwanda kinaajiri mtu mmoja hata kwa mama halima muuza mihogo pia ni kiwanda maana pale kuna michakato mbalimbali inafanyika kabla bidhaa haijamfikia mteja;kama kumenya mihogo,kukata kachumbali na kuiongezea mchuzi,kuandaa pilipili n.k.Babu hivyo viwanda kila mtaa vinawezekana sana tu achana na vya yule mwijage vitatuchelewesha au nasema uongo ndugu zangu!?
Anaingia Kama Guest SSiyo Login Maana Tutamuona Halafu Watamshushia Za UsoPlopesa Kikumbo!Hivi siku hizi haingii JF amwage pumba zake?πππ
Akithubutu atajuta.Plopesa alinunuliwa kwa shing mbili.ππππAnaingia Kama Guest SSiyo Login Maana Tutamuona Halafu Watamshushia Za Uso
HaaAkithubutu atajuta.Plopesa alinunuliwa kwa shing mbili.ππππ
Aibu hadi kizazi cha kumi na saba.Kila likionekana hilo jina watu wanacheka.Haa
Hawa Wametuchelewesha
Alichukua Cash Akaenda Huko
Wenyewe Tunaposema Joto Anakuwa Kwenye KiyoyoziAibu hadi kizazi cha kumi na saba.Kila likionekana hilo jina watu wanacheka.
Haisaidii wala haitakasi nafsi.Unakula huku una hofu moyoni?Wenyewe Tunaposema Joto Anakuwa Kwenye Kiyoyozi
Ofisini, Kwenye V8,Home
Wananchi Ndiyo Hoi
Haisaidii wala haitakasi nafsi.Unakula huku una hofu moyoni?
Hizo nafsi wanazo kwani?Haisaidii wala haitakasi nafsi.Unakula huku una hofu moyoni?
Kwa hiyo wao ni absent-minded?Au the walking-deads?πππHizo nafsi wanazo kwani?