Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ajabu ni Mawazo yako yaliyokosa uelewaTanzania ni nchi ya ajabu sana. Iwapo mkulima wa bangi anakamatwa na kufungwa gerezani, serikali imeshafuta hatia ya kulima bangi au ndio watakuwa anaagiza bangi kutoka America?
Kuna mdau kishakuwahi aiseeee [emoji116]poleNaomba tenda ya kununua mabaki niachiwe mimi....
Jr[emoji769]
Mwenye kuwafahamu hao wawekezaji tafadhali nipe anuani nikaombe tenda ya kutupa waste products zitokanazo na mchakato wa mafuta
nilikuelewa mkuu ila nilikutajia no 1 ili ufanye tathimini kwamba bangi haihusiani na mauajiuwe unasoma vizuri nimesema " Ni moja ya nchi" sio namba 1 ila ni moja ya nchi zenye kiwangu kikubwa.
Sure? Ok.nilikuelewa mkuu ila nilikutajia no 1 ili ufanye tathimini kwamba bangi haihusiani na mauaj
alafu mkuu huu upumbavu wa maadili unaturudisha nyuma sanaUkisikiliza hotuba za waliochangia mjadala huu wa BANGI huko Bungeni utaona wamejikita zaidi kwenya masuala ya uchumi,wanaposema bangi imepanda bei maana akili zao zimejikita kwenye pesa hawakumbuki tena maadili,lakini pia wanazungumzia kuhusu tiba iliyogunduliwa na wazungu ikihusisha bangi ila wamesahau kuwa bangi imekuwa tiba kwa miaka yote ambayo ilikuwa inapigwa vita na wakulima wa zao hili walichomewa bangi yao na nyingine ilichukuliwa bila kujua inapelekwa wapi.Jambo kubwa hapa ni kuwa katika kulima itatumiwa na wengi,kifupi mapusha watapata unafuu wa kusambaza vijiti mtaani....letaaaa baba legalize it yeah.... [emoji3060]
Ukifata taratibu+ vibali utapiga sana helaWaruhusu tu watu tushaandaa mbegu kabisa
Tanzania ni nchi ya ajabu sana. Iwapo mkulima wa bangi anakamatwa na kufungwa gerezani, serikali imeshafuta hatia ya kulima bangi au ndio watakuwa anaagiza bangi kutoka America?