sinajinasasa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 2,988
- 4,152
hatari kubwa.
Nchi kama Jamaica ambayo bangi imeruhusiwa.
Ndiyo moja ya nchi yenye mauaji makubwa kila mwaka duniani
Wizi wa fedha, heleni dhahabu nk
Ni nchi yenye magenge hatari ya madawa ya kulevya.
Kwa hiyo Tanzania ijiandae kwa hayo.
tofautisha maadili na anasa
marekani huwezi kuta wanazungumzia vitu vya maadili maana hayo hayana maana kila mtu kaumbwa aenjoy kadri awezavo ngoja nkujibu why bangi 1st wanatumia mgongo wa kuruhusu bangi kama dawa ila uhalisia ni kurasimisha bangi ili nchi ipate mapato hapo kwenye kuvuta ni ishu binafsi maana ikiruhusiwa hakuna anayekuforce n maamuzi binafsi 2nd angalia upana wa maslahi kwa taifa tz wavuta bangi ni 3.6milion ukisema tu kila mtu anatumia 500 per day ni kama 1.8 trilion au 180bilion io n per day hapo ukisema utoze kodi unaweza pata 18bln per day na hao 3.6m ni kutokana na utafiti kiuhalisia ni zaidi ninavosema maadili yanaturudisha nyuma ni kwamba tunawaanza maadili ambayo hayatupi faida yoyote kwa mfano kwani kaka na dada wakisex tatizo liko wp kwako hiyo n enjoyment yao ww haipaswi kukuhusu ww fanya maisha yako mkuu vitu vyote vinapita duniani ila maisha ni ku enjoy ukiweza pita na mtoto wa mama mdogo pita hata bible haijakataza ila m haipaswi kunihusu
3rd maadili yanapaswa kufundishwa na wazazi na mashuleni basi tuwekeze huko taifa lisiwaze maadili hayo ni mambo familia zitajua zenyewe na shule tuongeze kufundisha sana watoto wetu kuwa open mind wajue dunia inaendaje wajue technology wajue madhara ya na faida za vitu mbali mbali hata ushoga wafundishwe kwamba hili jambo ni baya hivi na vile hata bangi waelezwe Ato Z kwanzia mtoto anakua akizingatiwa hapo hata yeye akikua atajua n namna gani aji shape maadili yake ila taifa lisiwe na iyo agenda kwamba tunaacha vitu vya maana kisa maadili ukipata kodi kwenye weed ya 100 billion per month hio ni pesa inatosha kujenga more than 10 hospital tena za rufaa huu ujinga wa maadili naona unaturudisha nyuma sana waafrica kwa kungangania maadili akati kiuhalisia tunatisha angalia matukio ya kubaka na mengineyo yapo humu tz kuliko marekani naweza nkasema tanzania watu wanaosmoke weed ni wengi mno huku mtaani na pia mm nnaowajua wengi wanamafanikio mazury mnooo hii ya kusema bangi mbaya ni tulilishwa utotoni na tumengangania emu jamani lets be free in our mind
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka na kwa walozi ni dili!!!!! Si tutarogwa mtu unaamka asubuhi upo sayari isiyofahamika huko!!Naomba tenda ya kununua mabaki niachiwe mimi....
Jr[emoji769]
Where r we going? GANJA TENA JAMANI!!!!Dodoma. Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu nchini Tanzania (Uwekezaji), Angela Kairuki amesema wamejitokeza wawekezaji wawili wa bangi ambao lengo lao ni kuchakata mafuta yanayotokana na zao hilo.
Kairuki ameeleza hayo leo Jumatatu Februari 3, 2020 bungeni mjini Dodoma wakati akitoa taarifa baada ya Mbunge wa Kahama Mjini (CCM), Jumanne Kishimba kuomba Serikali kuruhusu kilimo hicho.
Katika maelezo yake, Kairuki amesema tayari wamepata wawekezaji wawili wanaotaka kuwekeza katika kilimo cha bangi ila hitaji lao ni kupata mafuta ya bangi yanayotumika kwenye matibabu.
“Tunaendelea kufanyia kazi kama Serikali kwa sababu bado hakuna mwongozo kuweza kuona kama itakubalika ama la,” amesema.
Amemtaka mbunge huyo kuwaachia mamlaka zinazohusika kulishughulikia jambo hilo.
Akimpa taarifa Kishimba, Mbunge wa Geita Vijijini (CCM), Joseph Musukuma amesema kwa kuwa sheria ya kilimo hicho ipo kinachofuata ni kutunga kanuni.
Soon bangi itahalalishwa.
Ila na hospital mfano wa ya milembe ya Dodoma zijengwe kila mkoa na wataalamu wa pia wa magonjwa ya uchizi waongezwe(wapatie mafunzo).
Where r we going? GANJA TENA JAMANI!!!!
umejiongeshesha tu haujajibu hoja alafu acha kupenda kuona mawazo yako ndio yanafaa kwa watu wote maana unavolilia vijana utasema vijana wanakulilia na ww narudia kusema ivi hii ni dunia tuliumbwa tuenjoy focus kwenye namna ya kuenjoy acha kuwazia watu wengineGreat Jay nazungumza/naandika kama mzazi na mwalimu. Vijana wengi wameshindwa kufikia ndoto zao kwa ajili ya uvutaji wa bangi. Wazazi wapo tunawajua na vijana tunao mitaani.
Baadhi ya wabunge wanashabikia bidhaa hii huko mbeleni tujipange. Kwa sasa **** amani kiasi mitaani kwa kuwa serikali imedhibiti bidhaa hii. Huko Tarime bangi imesababisha uhalifu usioisha. Maeneo ambalo bangi inatumiwa sana uhalifu huko ni hatari. Rejea Njombe, Mara, Arusha na mijini kwa jumla. Jamani WAZAZI tuliangalie hili. Jumuia ya WAZAZI CCM na viongozi wa dini jamani kushauri serikali. Kizazi kitaangamia.
Wachina walipiga kilimo cha bangi huko zamani. Tujifunze kutoka kwao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo tayari kuchukua tenda ya kusambaza yenye mafuta mengi kwa huyo mwekezeji kama serikali itanipa ruhusu.
Ni mbegu za bangi ndio zinakamuliwa na kuwa mafuta
Bei yake ulaya kwa 10ml ni 120,000 ya bongo sio hela ndogo lakini je kupata 100ml ni gunia ngapi za mbegu?
Vipi mkuu unataka kunipa contract nini?.Ardhi yetu ni kubwa na ina rutuba ya kutosha hata gunia billioni inawezekana ukizingatia bush weed ina mbegu nyingi sana kushinda skunk.
Sent from my iPhone using Tapatalk
Bangi haina uhusiano na uchiziSoon bangi itahalalishwa.
Ila na hospital mfano wa ya milembe ya Dodoma zijengwe kila mkoa na wataalamu wa pia wa magonjwa ya uchizi waongezwe(wapatie mafunzo).
Mbona supu ya bangi ipo IringaInategemeana na akili za watu wa nchi husika. wabongo wakiruhusiwa wanaweza tengeneza hata supu ya bangi.