Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Naungana na WEWE by 100%,They should protect and stands with plans for future generations,hapa ndipo wazungu wanapotushia.Sasa mkuu, bhasi wasingeruhusu Ardhi iliyopangwa kw ajili ya "Ring road" wananchi waiendeleze.
Naona wamekosea, sasa hitaji mbeleni likihitajika[emoji134] watavunja makazi ya watu?
Mradi ulikuwa mzuri, sijui waliositisha wameona nini?!?
Nguli wa madawa ya kulevya huyo.Kikwete angeuza nchi muda sio muda
Maneno machafu yana rangi gani?(Acha maneno machafu)
Mtoto mdogo wewe bado unanuka maziwa haujui chochote!Kuajiri madaktari 20,000 katika hospitali na vituo vya afya.
Serikali ya awamu ya tano ya Hayati Magufuli twajua iliasisi miradi mingi ktk maeneo mbalimbali ya nchi,mfano bwawa la mwal. Nyerere,reli ya mwendo Kasi (SGR) ,barabara za njia nane,ringroads na miradi mingine mingi.
Miradi hii kiukweli ilileta mabadiliko makubwa ya maendeleo ya miji na vijiji,na kuleta mvuto wa miji maeneo ambayo miradi hiyo ilipita.
Baada ya kifo Cha Hayati Magufuli, aliyekuwa Rais wa awamu ya tano kuna mijadara mingi mitaani kuhusu kuendelezwa kwa hii miradi,katika pitapita nikakutana na hili la kusitishwa kwa ujenzi wa ringroad ya kati ya jiji la Dodoma ambayo ilipotia maeneo ya mtaa wa Nkuhungu
Mkurugenzi wa jiji la Dodoma amesitisha ujenzi wa ringroad hiyo na kuwaruhusu wananchi waendelee na shughuli zao za ujenzi kama kawaida, hii ni baadhi ya miradi ambayo iliasisiwa kipindi Cha Hayati Magufuli enzi za uhai wake ktk kulifanya jiji la Dodoma kuwa na muonekano mzuri na uliopangika vizuri.
Kwasasa mitaani watu wanajasili je hii miradi iliyoasisiwa na Hayati Magufuli itakamiika kweli!? au ndo hivyo tena itabaki hadithi ilisiyokuwa na mwisho!
Japo kuna siku nilimsikia Waziri Mkuu aliwatoa wasiwasi watanzania kwa kusema , watu waondoe mashaka miradi yote ya kimkakati iliyoasisiwa na Serikali ya tano yote itakamilishwa kwa muda uleule uliokuwa umekadiliwa awali enzi za uhai wa Hayati Magufuli.
Je, ilikuwa ni kuwatuliza watu pressure za mashaka au ! Kama hii miradi midogo imeanza kusitishwa mdogomdogo je hii mingine ya mabilioni ya pesa itakuwaje? Anyway ngoja tuone mambo yatakuwaje, ila wananchi tukeyatunza maneno ya Waziri Mkuu kwenye kumbukumbu zetu, alitutia moyo na kutuondoa mashaka kwamba miradi yote iliyoasisiwa na Serikali ya awamu ya tano itakamilika.
Waziri Mkuu tunakumbuka maneno yako,ipo siku tutataka utupe maelezo ,ilikuwaje?
Mama ameshafeli, atakuwa raisi wa kike wa hovyo aliyewahi kutokea.
Mwenye maono alijenga International Airport kijijini, naweza sema alikuwa na akili kama zakoWatu huwa wanatizama mbali miaka hata mia mbili mbele huko.
Magufuli alikuwa anatambua kwamba baada ya miaka kadhaa, dodoma itafurika watu.
Ndio maana akaanza kuandaa miundombinu ya kimkakati ili wakati ukifika, watu wasianze kuzubaa zubaa na kutaabika ili shughuli za uchumi ziende haraka haraka na kwa wepesi.
Hiyo inaitwa akili ya kutizama mbali, yaani maono. Na sio kila mtu anaweza kuwa na akili ya aina hiyo hususani watu goigoi kama wewe mnaoishi kwa ujanja ujanja na utapeli wa kisiasa.
Nyinyi magoigoi kwa jinsi mlivyo na akili ya kutawaza mavi tu, mkipewa mlijenge hilo jiji la dodoma, mawazo yote yapo kwenye kuiba pesa za saruji na nondo ili mkanunue mishkaki na magari.
Nchi inayoongozwa na wanuka mikojo wasio na maono mapana ya muda mrefu itaishia kuwa ya ajabu ajabu tu.
Kwa mfano wewe, huna unalolijua zaidi ya kusubiri kuiba nondo na kula machips.
Unakula kula tu machips ya hovyo hovyo!
Mkuu bado unakomaa na hi barabara? Hi barabara tender ishatangazwa kitambo sana (Nov 2020) na mkandarasi alishapatikana, shida ni nn tena?au na yenyewe ujenzi umesitishwa?Hii ring road ilikuwa kipaumbele wakati tuna barabara kuu katika hali hizi?
Madhila ya Barabara Rusahunga -Rusumo
Kipande hiki cha barabara yapata 90km katika barabara kuu iendayo Burundi, Rwanda na DRC kimepigiwa kelele kwa muda mrefu. Kwa sasa pana sehemu mbili Nyamalagala na Ngazi Saba njia haipitiki na hali inazidi kuwa mbaya zaidi. Misururu ya magari ni mirefu na hakuna natumaini ya ufumbuzi wowote...www.jamiiforums.com
Au huko sasa kulisha kamilika?
Mkuu bado unakomaa na hi barabara? Hi barabara tender ishatangazwa kitambo sana (Nov 2020) na mkandarasi alishapatikana, shida ni nn tena?au na yenyewe ujenzi umesitishwa?
MACHAWA MTAPATA TABU SANA...Mama ameshafeli, atakuwa raisi wa kike wa hovyo aliyewahi kutokea.
Nakusoma mtaalam unavyovichapa bakora visichana vya jfWe mwizi wa saruji lazima ulie lie.
Nchi inajengwa na wanaume wa shoka, sio mabinti wanaojiliza mitandaoni kama wewe.
Ukipita pale juu kwenye flyover ya ubungo unakenua meno na kupanua makalio kwa raha zako, uwe unakumbuka kwamba kuna wanaume walifanya kazi pale.
Hiyo ndio maana halisi ya "vision".
Hapo napata hisia hiyo barabara itakuwa inapita kwenye viwanja vya NdugaiMkurugenzi wa Dodoma hana akili.
Ina maana anawaambia wajenge nyumba zao kabis
Nani asiekujua ww muuza cocaine hapo sinzaa...Hakuna anaemkumbuka labda familia yake na nyie wasukuma tena baadhi !!!!aliharibu hii nchi
Ebu itaje hiyo yenye tija bwana usitaziii...Anaachana na miradi isiyo na tija anaendekeza yenye tija
Si ndiyo hizo njia zake.....!!Njia zake zipi? Amekopa na kutuachia deni kubwa sana kwa mabeberu.
Miradi ya Magufuli ilikuwa ya kupiga hela, Ring road ipo na Mama kasema atajenga sasa hiyo ya Kati ilikuwa ya Nini? Ndio maaana alitutengenezea Meli za kutuuwa kule Kyela
Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app